395px

Mwema

Mercy Masika

Kwako mwana ukamtuma
Duniani kisa na maana
Nipate uzima
Jamani
Kwako mwana ukamtuma
Duniani kisa na maana
Nipate uzima
Jamani

Ishara kwamba unanipenda zaidi
Hivo nishaelewa sifa nitakupa zaidi
Ishara kwamba unanipenda zaidi
Hivo nishaelewa sifa nitakupa zaidi

Na siwezi jizuia
Kusema wako wema
Na sio kama najigamba
Umenitenda mema
Na siwezi jizuia
Kusema wako wema
Na sio kama najigamba
Umenitenda mema
Umekuwa mwema kwangu

Umenitoa gizani nilipokuwa nimeshikwa mateka
Ukanipa tumaini kwako nikajificha
Sasa nitakupa nini iwe sawa na yale umetenda
Hakuna ila moyoni sifa nitakuimbia
Nilikugharimu msalabani unifie
Hivo inanibidi sifa nikuimbie
Wemo wako niseme ili na wengine wakujue
Wote waungane nami na wazee ishirini na nne

Na siwezi jizuia
Kusema wako wema
Na sio kama najigamba
Umenitenda mema
Whoa, na siwezi jizuia
Kusema wako wema
Na sio kama najigamba
Umenitenda mema
Umekuwa mwema (kwangu)

Wacha niringe
Umekuwa mwema (kwangu)
Ooh Yahweh oh ooh (kwangu)
Ooh umenitendea aah, aah (kwangu)
Wacha niimbe

Siwezi jizuia
Kusema wako wema
Na sio kama najigamba
Umenitenda mema
Whoa, na siwezi jizuia
Kusema wako wema
Na sio kama najigamba
Umenitenda mema

Ooh, na siwezi jizuia
Kusema wako wema
Na sio kama najigamba
Umenitenda mema
Whoa, na siwezi jizuia
Kusema wako wema, Yesu
Na sio kama najigamba
Umenitenda mema
Siwezi jizuia

Escrita por: