Baraka (feat. Linex)
Akothee
Kwangu imekuwa kama ndoto au nyota
Iliojaa upendo usio na kipimo
Na umeniinua leo naitwa mama kijacho
Naisubiri zawadi kutoka kwako
Maombi yangu usiku na mchana
Aje mtoto mwenye hekima na busara
Mkarimu na mcheshi na asiwe hasara
Mtoto ni baraka kutoka kwa Mungu
Nitamlea kwa nguvu za Mungu
Umenipa dhamani mbele za macho ya watu
Acha niringe nitambe na nipige nduru
Acha niringe, nitambe na nipige nduru
Acha niringe, nitambe na nipige nduru
Kwani mimi ni nani unichague niwe mama wa watoto wako
Asante, kwa kukubali niwe wako
Kwani mimi, ni nani?
Unikubali niwe mama wa watoto wako
Kwani mimi ni nani
Unichague niwe baba wa watoto wako
Asante, kwa kukubali niwe wako
Kwani mimi, ni nani?
Unikubali niwe baba wa watoto wako
Umenitendea haki aliyonipa mama
Umenionyesha upendo sijawahi ona
Nayainua macho yangu juu
Nikualikie mema kutoka kwa Mungu
Tulipo ianza safari kunawaliopinga na kutukatisha tamaa
Hukuvunjika moyo ata maisha yalipokwenda mrama
Mtoto ni zawadi kutoka kwa Mungu
Nitamlea kwa nguvu za Mungu
Acha niringe, nitambe na nipige nduru
Acha niringe, nitambe na nipige nduru
Kwani mimi ni nani unichague niwe mama wa watoto wako
Asante, kukubali niwe wako
Kwani mimi ni nani?
Unikubali niwe mama wa watoto wako
Kwani mimi ni nani
Unichague niwe baba wa watoto wako
Asante, kwa kukubali niwe wako
Kwani mimi, ni nani?
Unikubali niwe baba wa watoto wako
Kwani mimi, ni nani?
Unikubali niwe mama wa watoto wako



Comentarios
Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra
Forma parte de esta comunidad
Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Akothee y explora más allá de las letras.
Conoce a Letras AcademyRevisa nuestra guía de uso para hacer comentarios.
¿Enviar a la central de preguntas?
Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.
Comprende mejor con esta clase: