visualizaciones de letras 1.101

Mahaba

Alikiba

Siku hizi hakuna mahaba
Yeah, mahaba
Mapenzi ya mkataba
Mpaka kufa, yamekwisha

Ni neema ukiwa unahema
Mapenzi yanachosha, yanafuja raha
Nafsi yangu inasema
Bora nimpende tu alionizaa

Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Sina kumbukumbu ile
Kwamba ulinikosha, no!

Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Sina kumbukumbu ile
Yakwamba ulinikosha, no!

Mwenzako mi' nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefufuka, yeah
Mi' nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, nimefufuka, yeah

S'kiza kwanza we dada
We dada
Mi' sio mgeni alishanikaba
Mapenzi yalinikausha
Natamani kuwa single
Ila nna-upwilu unakaba koo

Mabinti wenye vifundo
Hao ndio mi' wananitoa roho
Na siri juu ya jambo lile
Ni kama chakula lazima nile
Mi' mbovu sana wa jambo lile
Na ufundi wa kutosha, ooh

Na siri yake tuu jambo lile
Ni kama chakula lazima nile
Mi' mbovu sana wa jambo lile
Na ufundi wa kutosha, ooh
Mwenzako mi' nilikufa, nikazikwa, nikaoza

Mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefufuka, yeah
Mi' nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, nimefufuka, yeah


Comentarios

Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

0 / 500

Forma parte  de esta comunidad 

Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Alikiba y explora más allá de las letras.

Conoce a Letras Academy

¿Enviar a la central de preguntas?

Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

Comprende mejor con esta clase:

0 / 500

Opciones de selección