Mshumaa

Alikiba

Letra

    Ule ugonjwa ulioniacha nao
    Bado sijapona
    Hata mapenzi ulioniacha nayo
    Yamebaki jina

    Hospitali ooh
    Za dunia nzima
    Nimezunguka kote
    Wamepima majibu hakuna

    Hata ngoma sina (sina ooh)
    Pressure sina (sina eeh)
    Ugonjwa sina (sina)
    Jina lako ninalo

    Uwepo wako
    Ndo ulikuwa wangu uzima
    Naona giza
    Giza totoro aai

    Alioo iyoo
    Nakumiss

    Tena, tutonana
    Tena, hata Mungu akipanga leo
    Tena, nikufe kesho
    Tena, tutaonana tena

    Tena, ifike kesho uliamba
    Tena, waniweke kwa mchanga
    Tena, nikufe kesho
    Tena, ali ooh

    Labda nikukumbushe
    Nilipokuvisha pete
    Ulisema machache
    Hauniachi mpaka nife

    Maana ngoma sina (sina ooh)
    Pressure sina (sina eeh)
    Ugonjwa sina (sina)
    Jina lako ninalo

    Uwepo wako
    Ndo ulikuwa wangu uzima
    Mi naona giza
    Giza totoro aai

    Alioo iyoo
    Nakumiss, iye iye

    Tena, tutonana
    Tena, hata Mungu akipanga leo
    Tena, nikufe kesho
    Tena, tutaonana tena

    Tena, ifike kesho uliamba
    Tena, waniweke kwa mchanga
    Tena, nikufe kesho
    Tena, ali ooh


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Alikiba y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección