Taniua (feat. Boondocks Gang)

Bahati

Letra

    Mmh, EMB Records
    Odi wa Murang'a mmh
    Genge la Boondoksi
    Na Baha taniua mmh

    Masherehe (taniua)
    Hizi kiherehere (taniua)
    Dhambi zangu (taniua)
    Aki we utaniua aah

    Kesho ni zaidi ya today
    Mbona unakaa unauliza mbona?
    Mbona mawazo ya today
    Jana ulichana sasa ni hangover

    Kesho ni zaidi ya today
    Mbona unakaa unauliza mbona?
    Mbona mawazo ya today
    Jana ulichana sasa ni hangover

    Rieng priest naskia unaitwa Baha
    Ju si ni wazing utatuskia hatunaga baha
    Ju ka ni jing zimeshika mara kadhaa
    Labda niache mchuma nikaseti kwanza wada
    Labda niache pupa nikachome kwanza shada
    Labda niache chingri nisitupe kwanza rada
    Ama nikateke wale siz wa ibada

    Kuna matym natamani chana
    Aah eeh kuchana
    Temptation kiu ya thiang'a
    Aah eeh ya thiang'a

    Injili yangu inapingwa sana
    Aah eeh inapingwa sana
    Wakinicheki na Odi wa Murang'a
    Aah eeh

    Masherehe (taniua)
    Hizi kiherehere (taniua)
    Dhambi zangu (taniua)
    Aki we utaniua aah

    Kesho ni zaidi ya today
    Mbona unakaa unauliza mbona?
    Mbona mawazo ya today
    Jana ulichana sasa ni hangover

    Kesho ni zaidi ya today
    Mbona unakaa unauliza mbona?
    Mbona mawazo ya today
    Jana ulichana sasa ni hangover

    Walai walai, mashada fangi gani
    Kamande wa Kioi, tupa gospel hewani
    Mtoto wa mama before tuanze nina swali
    Kwa kesi ya mbinguni unaeza nitetea kweli?

    Mgenge ni mgenge for real (for real)
    Na njege ni njege for real
    Ka ushai backslide mi najua unanifeel
    Sijai toa tithe na mi hukuliwa na guilt

    Odi huku ni mapitio ooh
    Majaribio ooh
    Umetoka mbali tega sikio ooh
    Na leo tuko studio

    Masherehe (taniua)
    Hizi kiherehere (taniua)
    Dhambi zangu (taniua)
    Aki we utaniua aah

    Kesho ni zaidi ya today
    Mbona unakaa unauliza mbona?
    Mbona mawazo ya today
    Jana ulichana sasa ni hangover

    Kesho ni zaidi ya today
    Mbona unakaa unauliza mbona?
    Mbona mawazo ya today
    Jana ulichana sasa ni hangover

    Nilidai Holy water nikashika Jah
    Warasta wote ukweli wameumbwa na Sir Jah
    Holy communion mi huziletanga na jug
    Ex wangu husema eti labda umenidump

    Da, da labda uko done
    Ba, ba labda niko bar
    Ni kuthokia ju labda niko bank
    Illumi sema ati labda hii sasha bank

    Gun gun huskii nina gun
    Ju leo Mtua anauliza kama ataban
    Bang bang washa washa bang
    Bang turn washa washa burn

    Masherehe (taniua)
    Hizi kiherehere (taniua)
    Dhambi zangu (taniua)
    Aki we utaniua aah

    Kesho ni zaidi ya today
    Mbona unakaa unauliza mbona?
    Mbona mawazo ya today
    Jana ulichana sasa ni hangover

    Kesho ni zaidi ya today
    Mbona unakaa unauliza mbona?
    Mbona mawazo ya today
    Jana ulichana sasa ni hangover

    Tuna craving ya, neno la Bwana
    Bikra Maria tupe rehema
    Tuna craving ya, neno la Bwana
    Bikra Maria tupe rehema


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Bahati y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección