Chausiku (feat. Vanessa Mdee)

Barnaba

Letra

    Laisse-moi tranquille
    Je veux pas !

    Eehe, vidonge kumeza na soda
    Eehe, jinsi utinge na moka eeh
    (Ni ushamba) chunga mdomo
    Hujaulizwa we unaropoka eeh
    Kumiliki buku huku kuliotaga ghorofa eheh
    Mumeo nimelala ndani we unataka toka
    Ebo!

    Maisha yangu nimezaliwa Tandale
    Nyumbani Mtugule sikufundwa mkule
    Ndo maana
    Nyumbani kwetu lazima limbwata
    Na tamaduni zetu mwiko kutoa talaka

    Ata mimi nyumbani kwetu vimini wanakataza
    Kwenda kwa miziki mixer vibao kata
    No no noo, no no no

    Chausiku baby
    Una majina mengi
    Maana unapendwa na wengi
    Ebo!, nimejichanganya
    Upendo si kitu baby
    Maana waongo ni wengi
    Usije niacha stendi
    Iyeeh, utanichanganya

    Chausiku baby (utajijua)
    Una majina mengi (I don't)
    Maana unapendwa na wengi
    Ebo!, nimejichanganya
    Upendo si kitu baby (jifikirie mama)
    Maana waongo ni wengi (mimi mtoto wa sheikh)
    Usije niacha stendi (no no)
    Iyeeh, utanichanganya

    Heri ya mimi kanda mbili wewe kata mbugaa
    Unajitia mwema baba (oh no no no no)
    Kumbe sio mwema kakaa
    Juzi ulifumwaga na Rozi
    Yule muuza vipodozi (ooh no no)
    Mke wa kinyozi (oh no no noo)

    Wananizushia, uhuni kwetu mwiko
    Mimi mtoto wa sheikh (maskani maadrasa)

    Tumezaliwa mtaa mmoja, nakujua (isiwe sababu)
    Umechafua mtaa mpaka wauza vitumbua (no no noo)
    Tumalize mzizi wa fitina nimezama kwako
    Unanisaidiaje, eheh
    Nyumbani kwetu lazima limbwata
    Natamaduni zetu mwiko kutoa talaka
    Ata mimi nyumbani kwetu vimini wanakataza
    Kwenda kwa miziki mixer vibao kata
    No no noo!

    Chausiku baby (utajijua)
    Una majina mengi (I don't)
    Maana unapendwa na wengi
    Ebo!, nimejichanganya
    Upendo si kitu baby (jifikirie mama)
    Maana waongo ni wengi (mimi mtoto wa sheikh)
    Usije niacha stendi (no no)
    Iyeeh, utanichanganya

    Chausiku baby (utajijua)
    Una majina mengi (I don't)
    Maana unapendwa na wengi
    Ebo!, nimejichanganya
    Upendo si kitu baby (jifikirie mama)
    Maana waongo ni wengi (mimi mtoto wa sheikh)
    Usije niacha stendi (no no)
    Aaaah

    Maruwe ruwe kichwa kimepagawa dadaa, pagawa dada
    Nimeugua we ndo dawaa, we ndo dawa
    Unenepe ukonde yote sawaa, yote sawa
    Utafute vidonge mi sio dawaa, mi sio dawa
    Aah ooh, yeiye baba!


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Barnaba y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección