Uko Salama

Barnaba

Letra

    Noo no, noo no no
    No, no

    Sitaki ulie sababu yangu
    Wewe si ndo pepo yangu
    Salama eeh, uko salama eeh
    Sitaki ulie sababu yangu
    Wewe si ndo pepo yangu
    Salama eeh, uko salama eeh

    Ya nini nijichoshe mwili
    Wakati sijapenda
    Si bora tu ntulize akili
    Mahala nilikopenda

    Hata tai huruka wawili
    Sababu wamependana
    Si bora tu nitulize akili
    Ya nini kufosiana

    Love is furaha
    You are my furaha, nakupenda
    Love is furaha
    You are my furaha, nakuzimia

    Yaongeze mahaba
    Kisha nikupende mara saba
    Salama, uko salama
    Nishajifunza kuwa nakaba
    Siri za ndani usijetangaza
    Salama, uko salama baby

    Sitaki ulie sababu yangu
    Wewe si ndo pepo yangu
    Uko salama, uko salama baby
    Sitaki ulie sababu yangu
    Wewe si ndo pepo yangu
    Uko salama, uko salama eeh

    Chunga penzi usiliweke nyufa
    Ukaziba ukuta, penzi likaanguka
    Penzi tamu kuzidi asali nani anakataa
    Kisha jaribu ndo utajua umbali wa unapotaka

    Baby niwashie taa
    Niko kwenye giza na we ndo mwanga
    Ndo mwanga, ndo mwanga
    Ndo mwanga eeeh
    Huko nyuma nishasuffer
    Nishajaribu mpaka vichaa
    Washaniumiza, niumiza eeeh

    Yaongeze mahaba
    Kisha nikupende mara saba
    Salama, uko salama
    Nishajifunza kuwa nakaba
    Siri za ndani usijetangaza
    Salama, uko salama baby

    Sitaki ulie sababu yangu
    Wewe si ndo pepo yangu
    Uko salama, uko salama baby
    Sitaki ulie sababu yangu
    Wewe si ndo pepo yangu
    Uko salama, uko salama eeh

    Furaha yangu ni kukuona unatabasamu
    Hata kama siku utanipochoka mikononi
    Haijalishi kwa maana nakupenda
    Hisia zangu haziko wazi
    Na wala hazijifichi mbele zako machoi
    Si unaona eeeh
    Ukiniita natabasamu
    Ukinigusa tu napata goosebumps
    Hahaha, ningepewa jina nikuchagulie ningekuita waridi
    Bali na kuwa nawe tunalala kitanda kimoja na jinsi sifaidi
    Natamani kumkaidi bosi niachane na kazi
    Nijipe likizo nisichoke kabisa
    Niweze kustarehe na wewe
    Hata pumzi itakaponizimia niwe
    Basi uwe wa mwisho maisha
    Nawaza lini Mungu atanichukua
    Je kifo changu kitakuwa mwisho na wewe?
    Naomba iwe hivyo maana sitaweza bila wewe
    Iwe duniani, mbinguni ahera
    Maana kwangu una dhamani zaidi ya hela
    Leo, kesho na mtondo goo, I love you!

    Sababu yangu
    Wewe si ndo pepo yangu
    Salama salama salama


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Barnaba y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección