visualizaciones de letras 1

Acha Nikae Kimya

Diamond Platnumz

Letra

    Mama ananambia Naseeb
    Mi ni mtu mzma nawe ndo nakutegemea
    Yanayotokea jaribu kupiga kimya usidiriki ata kuongea
    Mara nasikia vya aibu Konda, Gwajima eti ugomvi umekolea
    Kuchunguza karibu ni binti mmoja kwa mitandao wanachochea

    Najaribu kunyamaza, ila moyo hautakii
    Unanambia eti Simba japo unguruma uisemee hakii
    Ooh najaribu kunyamaza ata Laizer ataki yoo
    Anasema walau nena kidogo (hiih)

    Na mashabiki Dangote
    Wananambia mbona husemi chochote, ah
    Si uko nao siku zote
    Ama ulezi unafanya uogope, ah
    Na media pande zote
    Wanalalama kiongozi atoke eh
    Nchi inaingia matope
    Niende wapi na mi mtoto wa wote
    Yaani lawama

    Wacha nikae kimya
    Mmh nisiongee (kimya)
    Ooh ninyamaze mimi (nikae kimya)
    Nisiseme (kimya)
    Mama kanambia (wacha nikae kimya)
    Ooh nifunge mudomo (kimya)
    Mie bado mdogo sana (nikae kimya)
    Nisiseme (kimya)

    Mmh ni mengi majaribu
    Najatahidi epuka yasije nicost
    Japo mengine swadakta mengine hayana maana
    Rafiki kipenzi wa karibu
    Hata nyimbo yake sikuweza ipost
    Ila alivokamatwa iliniumiza sana
    Mitandaondi kila kona
    Uongo na ukweli unashonwa
    Kila nyumba inanong'ona
    Ah oh Tanzania
    Mara kimbembe Dodoma
    Bunge upinzani wamegoma
    Juzi akapotea na Roma
    Oh Tanzania, ooh

    Najaribu kunyamaza, Makame hataki yooh
    Ananambia walau nena kidogo

    Nyumbani nafungua gate
    Niende kwa Mangi nunua super gate eh
    Napewa za chini ya kapeti
    Kuna redio imevamiwa kefti eh
    Napita kwenye (magazeti)
    Nakuta rundo la watu (wameketi)
    Eh, badala ya kutafuta cent
    Wanabishana tu mambo ya vyeti

    Wacha nikae kimya
    Ooh nisiongee (kimya)
    Ninyamaze kabisa (nikae kimya)
    Eh ulimi koma (kimya)
    Usije kunipoonza (acha nikae kimya)
    Nifunge bakulu lanhu (kimya)
    Nikojoe nikalale (nikae kimya)
    Mi bado mdogo sana (kimya)
    Mama kanambia

    Oh najiuliza (waapi)
    Najiulii (waapi)
    Tunakwenda wapi (waapi)
    Kila siku maneno (waa)
    Ah tuacheni jamani (waapi)
    Mi na we ni taifa moja (waapi)
    Kambarage baba mmoja (waa)
    Sa tofauti za nini tushikamane
    Tukaijenge Tanzania


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Diamond Platnumz y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección