visualizaciones de letras 1
Letra

    Eyoh
    Yoh I'm back Bob Junior, I'm back
    Acha vita ianze
    Wamechelewa

    Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya (wabaya)
    Ndugu, rafiki, nani Ana roho safi
    Nani Ana roho mbaya (mbaya)
    Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
    Mola, naomba nilinde niwe na upendo wa dhati
    Wote niishi nao sawa

    Nilipouanza mziki, mbali na dhiki
    Nimekutana na matatizo sana
    Sikuwa rafiki, sithaminiki
    Bado kidogo mie tu nikate tamaa
    Wangu moyo
    Ulivumilia dharau na masimango mi
    Mi wangu moyo
    Ulivumilia utumwa na manyanyaso di

    Yaani nahangaika usiku kucha naambulia patupu
    Nilikuwa naumia
    Moyoni najipa moyo kesho ntakuwa maarufu
    Mwisho wa siku nafulia
    Ile nahangaika usiku kucha naambulia patupu
    Nilikuwa naumia
    Najipa moyo kesho ntakuwa maarufu
    Mwisho wa siku nafulia

    Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya (wabaya)
    Ndugu, rafiki, nani Ana roho safi
    Nani Ana roho mbaya (mbaya)
    Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
    Mola, naomba nilinde niwe na upendo wa dhati
    Wote niishi nao sawa

    Kidogo nakula na mama yangu
    Siwezi kuwasahau na ndugu zangu
    Upendo popote alipo kwa baba yangu
    Japo alinikataa
    Aa bata nakulaga mi na rafiki zangu
    Tunacheza Reggae na masikini wenzangu
    Alazwe pepa peponi na bibi yangu
    Mjukuu wake Sanana

    Sababu ya ugumu wa maisha
    Na maumivu ya mapenzi nikaandika Kamwambie
    Ndo hapo hustle zikaisha, kabariki Mwenyezi watanzinia wanizimie
    Asa hivi kwenye tamasha tu likitajwa jina watu wanashangilia
    Wengine furaha inazidi kina hadi kabisa wanalia
    Asa hivi kwenye tamasha yaani ikitajwa jina watu wanashangilia
    Wengine furaha inazidi kina hadi kabisa wanalia

    Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya (wabaya)
    Ndugu, rafiki, nani Ana roho safi
    Nani Ana roho mbaya (mbaya)
    Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
    Mola, naomba nilinde niwe na upendo wa dhati
    Wote niishi nao sawa

    Eii tena wabaya sana
    Ouu wanakatisha tamaa
    Eii uh wabaya
    Tena wabaya
    Ouu aah
    Sana, wabaya sana
    Wabaya sana
    Mmh wabaya sana


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Diamond Platnumz y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección