visualizaciones de letras 196

Katam (feat. Bien)

Diamond Platnumz

Letra

    S2 Keys, baby!

    Wimbo
    Wimbo huu
    Ajejeje
    Mnh eh

    Joto lije ntakupepea
    Ntakutunza ntakutetea
    Wanune wavimbe, I don't care
    Hawajui unachonipea

    Mpaka napagawa
    Na sio mambo ya dawa
    We ni mtamu mwaya
    Na haunaga show mbaya
    Ukinigusa tu nalegea
    Mwili wote teketeke
    Yani siwezi ata kutembea
    Kama mtoto tete tete

    (Ayayayaya)
    Na nyuma ni muganda (huyu mwana)
    Shepu ya kitanga (huyu mwana)
    Ngozi ya kirundi ooh (huyu mwana)
    Sura ya kinyarwanda (huyu mwana)
    Na nywele ya kisomali (huyu mwana)
    Macho ya Ethiopia (huyu mwana)
    Utamu Tanzania ooh (huyu mwana)
    Akili ni ya kenya

    Yule anaepinga asimame
    Anaepinga asimame
    Sema ukweli wako

    Nyie haka (katam tam katam)
    Kababy kangu jama (katam tam katam)
    Kashunushunu bwana (katam tam katam)
    Ooh mzuri wewe (katam tam katam)
    Umeumbika mwaya (katam tam katam)
    Aii yoo yooh (katam tam katam)
    Kisura chake (katam tam katam)
    Ona umbo (katam!)

    I know the bar was so low
    Lakini umenivumilia
    Mahaba nayasikia mama
    Nakupa mia kwa mia
    Baby you don't know
    Vile umenishikilia
    Uka ni kinga wa dunia mama
    Sijui nikupe nini dear

    Nafufua wahenga
    Watunge nyimbo tamu na mashairi
    Mtu asije tenga
    Ishaandikwa duniani na mbinguni
    Mchuzi we ndo flavour
    Imebidi niite mondi aje tujadili
    Nikatuma mshenga
    Hadi kwenu East Africa mashariki tete (ayayayaya)

    Na nyuma ni muganda (huyu mwana)
    Shepu ya kitanga (huyu mwana)
    Ngozi ya kirundi ooh (huyu mwana)
    Sura ya kigali yeeh (huyu mwana)
    Na nywele ya kisomali (huyu mwana)
    Na macho ya habesha (huyu mwana)
    Forehead ni ta kenya (huyu mwana)
    Tabasamu la juba

    Yule anaepinga asimame
    Anaepinga asimame
    Sema ukweli wako

    Nyie haka (katam tam katam)
    Kababy kangu jama (katam tam katam)
    Kashunushunu bwana (katam tam katam)
    Ooh mzuri wewe (katam tam katam)
    Umeumbika mwaya (katam tam katam)
    Aii yoo yooh (katam tam katam)
    Kisura chake (katam tam katam)
    Ona umbo (katam tam katam)

    Sa twende popopo adigidigi
    Asuke rasta ama avae wigi
    Jamani popopo adigidigi
    Utaitaka tu kujigijigi
    Jamani popopo adigidigi
    Asuke rasta ama avae wigi
    Nasema popopo adigidigi
    Utaitaka tu kujigijigi

    Let's make a toast to my baby
    East African lady
    Let's make a toast to my baby
    My African lady

    Let's make a toast to my baby ooh
    My Asian baby aah
    Let's make a toast to my baby ooh
    My European baby aah
    Aje jeje
    Mnh mnh mnh


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Diamond Platnumz y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección