visualizaciones de letras 4
Letra

    Wenzako waolewa we huolewi kwani we
    Ati una hila moja huseni na majirani we
    Sema na hila ya pili ukihongwa hufanani wewe
    Sema na hila ya tatu midabwada kitandani we
    Sema na hila ya nne mwenzetu nchafu ndani we

    Kanijengee kibanda kwetu eeh eeh eeh
    Kanijengee kibanda kwenu wataniua
    (Kanijengee kibanda kwetu eeh eeh eeh
    Kanijengee kibanda kwenu wataniua)
    Kanijengee kibanda udugu wangu eeh eeh, eh
    Kanijengee kibanda shoga zako wataniua
    (Kanijengee kibanda kwetu eeh eeh eeh
    Kanijengee kibanda kwenu wataniua)

    Lalilo lilo eeh, pambe tu
    Lololololo lololololo
    Lali lali lali, laa lalii, lali lili lalii

    Ooh oh, jani hilo, jani la mua eeh eeh, eh
    Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi
    (Jani hilo, jani la mua eeh eeh, eh
    Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi)
    Ooh oh, jani hilo, jani la mua eeh eeh, eh
    Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi
    (Jani hilo, jani la mua eeh eeh, eh
    Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi)
    Ooh oh, jani hilo, jani la mua eeh eeh, eh
    Watu wote zoazoa lakini toss umezidi
    (Jani hilo, jani la mua eeh eeh, eh
    Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi)
    Ooh oh, jani hilo, jani la mua eeh eeh, eh
    Watu wote wachepuka lakini lizer umezidi

    Acha nicheze mie
    (Na watu wangu jangwani nalia)
    Oh acha niringe mia
    (Na watu wangu jangwani nalia)
    Aah, aah, aah acha nicheze mie
    (Na watu wangu jangwani nalia)
    Acha nijishaue shaue
    (Na watu wangu jangwani nalia)
    Ooh lolilo lilo eeh

    Kuntu, mambo hayo
    Alolololo lolo loloo
    Aah eeh mama mwanangu ooh
    (Mama mwanangu ooh)
    Aah mama mwanangu ooh
    (Mama mwanangu ooh)

    Waniacha nasaga mpunga we, mbona sijijui
    Waniacha nasaga mpunga we, mbona sijijui
    Waniacha napinda mgongo we, mbona usiniambie
    Aah waniacha napinda mgongo we, mbona usiniambie
    Jamani mi naumwa eeh eeh eeh naumwa
    Naumwa ooh, ooh oh, naumwa aah, naumwa
    Naumwa kijipu upele we, naumwa huniambii pole
    (Naumwa eeh eeh, eh, naumwa
    Naumwa ooh, ooh oh, naumwa aah, naumwa
    Naumwa kijipu upele we, naumwa huniambii pole)

    Jamani mi naumwa eeh eeh eeh, naumwa
    Naumwa ooh, ooh oh, naumwa aah, naumwa
    Naumwa kijipu upele we, naumwa huniambii pole
    (Naumwa eeh eeh, eh, naumwa
    Naumwa ooh, ooh oh, naumwa aah naumwa
    Naumwa kijipu upele we, naumwa huniambii pole)
    Naumwa kijipu upele jama, naumwa huniambii pole

    Oyaa mwafulani wee (khaa)
    Ooh mwafulani usitukane dangaji nakuambia aah
    Huo udangaji kaunaza dadayo kuutumia
    Ukiona mwana wa mwenzio budege
    (Na wako vilevile, na wako vilevile)
    Aah, aah ukiona mwana wa mawenzio mchele
    (Na wako vilevile, na wako vilevile)
    Ukiona mwana wa mwenzio shangingi
    (Na wako vilevile, na wako vilevile)
    (Aah lilo lilo eeh, tamu)

    Nipeni barua yangu (niisome)
    Nipeni barua yangu (niisome)
    Nipeni barua yangu (niisome)
    Jamani barua yangu (niisome)
    Nipeni barua yangu (niisome)
    Naitaka barua yangu (niisome)
    Barua jama barua eeh (niisome)
    Barua jama barua eeh (niisome)
    Barua ya bwana ndani eeh (niisome)
    Barua jama barua eeh (niisome)
    Barua ya bibi ndani eeh (niisome)
    Barua ifike vyema eeh (niisome)
    Barua mama barua aah eheeh, eh, eh

    Ooh nyie wana dar es salama embu acheni umbumbumbu
    Nyie wana dar es salama embu acheni umbumbumbu
    Shariti ni kuinama ukitaka cha uvungu
    Asa mbona wapata bwana halafu humpi?

    Naombeni barua yangu (niisome)
    Naitaka barua yangu (niisome)
    Niisome barua yangu (niisome)
    Barua jama barua eeh (niisome)
    Aah eehh
    Jamani kuna kijiti kimoja kwa jina sitokitaja
    Ukiona chasimama ujue chataka haja
    Ukiona kimelala kisha cghafua mapaja
    Jamani wewe

    Nipeni barua yangu (niisome)
    Naitaka barua yangu (niisome)
    Nipeni barua yangu (niisome)
    Barua jama barua eeh (niisome)
    Barua ya mwana ndani eeh (niisome)
    Barua jama bahaba eeh (niisome)
    Naitaka barua yangu (niisome)
    Niisome barua yangu (niisome)
    Barua jama bahaba (niisome)
    Mahaba jama ya muhiba (niisome)
    Aah eehh

    Jamani kuna mama kuna (kuna)
    Kuna mama kuna (kuna)
    Kuna nazi kuna (kuna)
    Kuna mama kuna (kuna)
    Kuna kinyume nyume (kuna)
    Kuna kinyume nyume (kuna)
    Kuna kimbele mbele (kuna)
    Kuna kati kwa kati (kuna)
    Kuna kinyume nyume (kuna)

    Hasa ku ku kuku, kukuku ku ku kuku kuku
    Eeh ku, eeh ku, eeh ku, ku ku ku ku
    Jamani kampata sharubaro jama kampeleka nyumbani
    Muda wa kumpa mambo kamvalia miwani
    Kule hakupaona kafanya kwa pajani

    Jamani kuna sasa kuna (kuna)
    Kuna embu kuna (kuna)
    Kuna mama kuna (kuna)
    Kuna dada kuna (kuna)
    Ricardo momo kuna (kuna)
    Esma twende kuna (kuna)

    Ooh udangaji udangaji jama ni habari ya mujini
    Wenzako wapewa nyumba kwa magari ya injini
    Hivi we dangaji gani hadi leo walala chini

    Ngoja embu kwanza kuna (kuna)
    Jifunze kukuna (kuna)
    Kwa kushoto kuna (kuna)
    Kwa kulia kuna (kuna)

    Haya ku ku kuku, kukuku ku ku kuku kuku
    Eeeh ku, eeh ku, eeh ku, ku ku ku
    Aah eehh
    Aah, aah, aah, aah

    Ooh utaniweza wapi utundu nimeanza zamani mie
    (Utaniweza wapi utundu nimeanza zamani mie)
    Ooh utaniweza wapi kuchepuka nimeanza zamani mie
    (Utaniweza wapi utundu nimeanza zamani mie)
    Ooh utaniweza wapi madanga nimeanza kitambo mie
    (Utaniweza wapi utundu niemeanza zamani mie)
    Ooh utaniweza wapi mjini napajua kitambo mie
    (Utaniweza wapi utundu nimeanza zamani mie)

    Hasa nataka dodoa (haya dodoa)
    Nataka katika (haya katika)
    Jama najojoa (haya jojoa)
    Hamu yanishika (haya dodoa)
    Ooh nataka dodoa (haya dodoa)
    Eeh nataka katika (haya katika)
    Jaama najojoa (haya jojoa)
    Hamu yanishika (haya dodoa)

    Mama nataka nilewe
    (Ngoja nilewe nikishaanguka pombe utakunywa wewe)
    Ooh jama nataka nilewe eh
    (Ngoja nilewe nikishaanguka pombe utakunywa wewe)

    Aah hasa nataka dodoa (haya dodoa)
    Jamani nataka katika (haya katika)
    Aah jama najojoa (haya jojoa)
    Hamu yanishika (haya dodoa)
    Naataka dodoa (haya dodoa)
    Jama nakatika (haya katika)
    Ona najojoa (haya jojoa)
    Hamu yanishika (haya dodoa)
    Pambee eeh

    Eeeh huo mnazi (unakatika)
    Mnazi (unakatika)
    Jamani mnazi (unakatika)
    Ooh, mmazi (unakatika)
    Ukitaka kukatika hukatika
    Kati kati kati kati
    Kaa


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Diamond Platnumz y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección