visualizaciones de letras 2

Nasema Nawe (feat. Khadija Kopa)

Diamond Platnumz

Letra

    Hallooo
    Weweweaah

    Aah
    Kutwa viguru njiani majirani wote wamekuchokaa
    Mara chumba cha fulani mtu gani we kwako usio kaa
    Washinda vibarazani vya wenzako kuropoka
    Ukome mwana fulani ona uso ulivyo kukoboka
    Sio mwisho vibaoni hadi kwenye vigodoro
    Usio na haya usoni kote wazua migogoro
    Hivi wee haujioni kuwa una kasoro
    Usio mchana jioni si wajuzi si tomorrow
    Sio mwisho vibaooni kwenye vigodoro
    Usio na haya usoni kote wazua migogoro
    Hivi wee haujioni kuwa una kasoro
    Usio mchana jioni si wajuzi si aah

    Nasema nawe (nasema nawe)
    Nasema nawe (nasema nawe)
    Nasema nawe (nasema nawe)
    Usio haya nasema nawe
    Umezoea (nasema na wewe)
    Chezea chezea (nasema nawe)
    Umezidi (nasema nawe)
    Zizi, zidi (nimechoka nasema nawe)

    Huna haya ka kibakuli cha vumba
    Popote unajitokeza babu eee
    Haa, we kichoji tu
    Unaingia kwenye kundi la ninga
    Utachanika mabawa

    Hmm ah
    Zingifuli zingifuli ungezinga mahala ukakaa
    Usio mila desturi usio jua tongozwa ukakataa
    Usio hiyana fedhuri uongo umekujaa
    Kujifanya mashuhuri kumbe chaka umechaka aga
    Mwenzako mi ni turufu si garasa
    Mwenye nyota ya umaarufu si kupapasa
    Tena jokali la nguvu pakarata
    Lile hodari maguvu si kwasa kwasa
    Ooh mwenzako mi ni turufu si garasa
    Mwenye nyota ya umaarufu si hozakoza aah

    Nasema nawe (ona wewe)
    Nasema nawe (nawe)
    Nasema nawe
    Usio haya nasema nawe

    Nasema nawe
    Nasema nawe
    Nasema nawe
    Nimechoka nasema nawe

    Umezoea (nasema na wewe)
    Chezea chezea (nasema nawe)
    Umezidi (nasema nawe)
    Zizi, zidi ooh (usio haya nasema nawe)

    Nasema nawe (ona wewe)
    Nasema nawe (ooh)
    Nasema nawe
    Nimechoka nasema nawe

    Wewee umejifunza ngumi leo wataka upigane na Tyson?
    Haah!

    Ale kata kata kakata katika si kata
    Oh teteme teteme (kata)
    Wenye kusema waseme (kata)
    Ale kata kata kakata katika si
    Kata kiuno chako mwenyewe (kata)
    Mola amekupa wewe (kata)
    Tena vya kili kilali (kata)
    Nipe vya bara na pwani (kata)
    Vile vya nje na ndani (kata)
    Tumkomeshe fulani (kata)
    Tena vya kili kilali (kata)
    Nipe vya bara na pwani (kata)
    Vya nje na ndani (kata)
    Akome fulani (kata)

    Hallo haa
    Utavunjia ma-apple mwaka huu
    Maana nazi zimepanda ma bei aah
    Heheey

    Toa basi!

    Ninasema nawe (ona wewe)
    Nasema nawe (nawe)
    Nasema nawe
    Usio haya nasema nawe (wewe)

    Nasema na wewe
    Nasema nawe (nawe)
    Nasema nawe
    Nimechoka nasema nawe

    Umezoea (nasema nawe)
    Chezea chezea (nasema nawe)
    Ooh nasema nawe
    Usio haya nasema na wewe (nasema nawe)

    Nasema na wewe (nasema nawe)
    Nasema na wewe (nasema nawe)
    Nasema nawe nimechoka nasema nawe ooh

    Wewe weah kata kata


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Diamond Platnumz y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección