
Nasema Nawe (feat. Khadija Kopa)
Diamond Platnumz
Hallooo
Weweweaah
Aah
Kutwa viguru njiani majirani wote wamekuchokaa
Mara chumba cha fulani mtu gani we kwako usio kaa
Washinda vibarazani vya wenzako kuropoka
Ukome mwana fulani ona uso ulivyo kukoboka
Sio mwisho vibaoni hadi kwenye vigodoro
Usio na haya usoni kote wazua migogoro
Hivi wee haujioni kuwa una kasoro
Usio mchana jioni si wajuzi si tomorrow
Sio mwisho vibaooni kwenye vigodoro
Usio na haya usoni kote wazua migogoro
Hivi wee haujioni kuwa una kasoro
Usio mchana jioni si wajuzi si aah
Nasema nawe (nasema nawe)
Nasema nawe (nasema nawe)
Nasema nawe (nasema nawe)
Usio haya nasema nawe
Umezoea (nasema na wewe)
Chezea chezea (nasema nawe)
Umezidi (nasema nawe)
Zizi, zidi (nimechoka nasema nawe)
Huna haya ka kibakuli cha vumba
Popote unajitokeza babu eee
Haa, we kichoji tu
Unaingia kwenye kundi la ninga
Utachanika mabawa
Hmm ah
Zingifuli zingifuli ungezinga mahala ukakaa
Usio mila desturi usio jua tongozwa ukakataa
Usio hiyana fedhuri uongo umekujaa
Kujifanya mashuhuri kumbe chaka umechaka aga
Mwenzako mi ni turufu si garasa
Mwenye nyota ya umaarufu si kupapasa
Tena jokali la nguvu pakarata
Lile hodari maguvu si kwasa kwasa
Ooh mwenzako mi ni turufu si garasa
Mwenye nyota ya umaarufu si hozakoza aah
Nasema nawe (ona wewe)
Nasema nawe (nawe)
Nasema nawe
Usio haya nasema nawe
Nasema nawe
Nasema nawe
Nasema nawe
Nimechoka nasema nawe
Umezoea (nasema na wewe)
Chezea chezea (nasema nawe)
Umezidi (nasema nawe)
Zizi, zidi ooh (usio haya nasema nawe)
Nasema nawe (ona wewe)
Nasema nawe (ooh)
Nasema nawe
Nimechoka nasema nawe
Wewee umejifunza ngumi leo wataka upigane na Tyson?
Haah!
Ale kata kata kakata katika si kata
Oh teteme teteme (kata)
Wenye kusema waseme (kata)
Ale kata kata kakata katika si
Kata kiuno chako mwenyewe (kata)
Mola amekupa wewe (kata)
Tena vya kili kilali (kata)
Nipe vya bara na pwani (kata)
Vile vya nje na ndani (kata)
Tumkomeshe fulani (kata)
Tena vya kili kilali (kata)
Nipe vya bara na pwani (kata)
Vya nje na ndani (kata)
Akome fulani (kata)
Hallo haa
Utavunjia ma-apple mwaka huu
Maana nazi zimepanda ma bei aah
Heheey
Toa basi!
Ninasema nawe (ona wewe)
Nasema nawe (nawe)
Nasema nawe
Usio haya nasema nawe (wewe)
Nasema na wewe
Nasema nawe (nawe)
Nasema nawe
Nimechoka nasema nawe
Umezoea (nasema nawe)
Chezea chezea (nasema nawe)
Ooh nasema nawe
Usio haya nasema na wewe (nasema nawe)
Nasema na wewe (nasema nawe)
Nasema na wewe (nasema nawe)
Nasema nawe nimechoka nasema nawe ooh
Wewe weah kata kata



Comentarios
Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra
Forma parte de esta comunidad
Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Diamond Platnumz y explora más allá de las letras.
Conoce a Letras AcademyRevisa nuestra guía de uso para hacer comentarios.
¿Enviar a la central de preguntas?
Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.
Comprende mejor con esta clase: