visualizaciones de letras 3
Letra

    Vipi mizigo umeshaweka tayari
    Sijechelewa nkaachwa na gari
    Basi jikaze usilie mpenzi, aah
    Mi nitarudi niombee kwa mwenyezi, aah

    Zile taabu na njaa
    Msimu mzima mavuno hakuna
    Huwa nakosa raha
    Pale mkikosa cha kutafuna

    Roho yangu inauma
    Sema ntafanya nini na pesa sina
    Nakuonea na huruma
    Bora niende mjini kusaka tumaa

    Kama watoto wakinililia
    Waambie kesho nitarejea
    Wadanganye na vibagia
    Waambie pipi ntawaletea

    Kama watoto wakinililia
    Waambie kesho nitarejea
    Nawe usichoke kuvumilia
    Na kila siku kuniombea

    Wanajua kwamba nafsi na roho
    Vitakuwa na wasiwasi
    Ukumbuke na moyo
    Utajawa na simanzi

    Ntakapokuwa nakwenda shambani
    Afu niko peke yangu honey
    Ntapokuja kuwa na majirani ntaumia aah
    Pale napotoka kisimani (aah)
    Ama nipo na kuni kichwani (aah)
    Sina wakunitua nyumbani ntaliaa

    Maneno yako yananfanya nakosa raha na mawazo
    Hata mwenzako sijawahi kufika dar huu ndo mwanzo
    Vile nakwenda na sijui pa kukaaa wala mavazi ooh
    We niombee niepushwe na balaa na maradhi ooh

    Kama watoto wakinililia
    Waambie kesho nitarejea
    Wadanganye na vibagia
    Waambie pipi ntawaletea

    Kama watoto wakinililia
    Waambie kesho nitarejea
    Nawe usichoke kuvumilia
    Na kila siku kuniombea

    Unapokwenda kama ukifika salama
    Utukumbuke na sisi
    Usisahau kama mkeo na wana
    Umetuacha na dhiki

    Vile usijali ila naomba chunga sana
    Ogopa na marafiki
    Wakikulaghai hata kwa mbegu za mtama
    Waambie sidanganyiki

    Unapokwenda kama ukifika salama
    Utukumbuke na sisi
    Kumbuka mkeo na wana nyumbani
    Umetuacha na dhiki ooh

    Vile usijali ila naomba chunga sana
    Ogopa na marafiki
    Wakikulaghai hata kwa mbegu za mtama
    Waambie sidanganyiki

    Ntarejea mama
    Niombee nirude salama
    Oh watoto wadanganye
    Ihh, oh

    Kama watoto wakinililia
    Waambie kesho nitarejea
    Wadanganye na vibagia
    Waambie pipi ntawaletea

    Kama watoto wakinililia
    Waambie kesho nitarejea
    Nawe usichoke kuvumilia
    Na kila siku kuniombea


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Diamond Platnumz y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección