Toka Mwanzo (feat. Fatma & Romy Jones)

Diamond Platnumz

Letra

    Mama kwanza nilipokwona na
    Ulisema ati just a friend now
    Wala kwanza huna mpango naye
    Alitaka tu mkaspend a ride

    Na, na ukamkatalia, ukamkimbia
    Baki anaumia na eti analia
    Tena kwa hisia
    Ati kisa kuwa na we

    Maneno mengi kunidanganya
    Nikiwa sipo kumbe mnafanya
    Nimeshow love tena kwa sana
    Nitakosea nikikuita player

    Sitokosea nikikuita player mbona we
    (Come on, come on, come on)

    Sasa si wala we ungesema toka mwanzo
    Kama sipo hata kwenye yako mawazo
    Kisa nini ya mapenzi alizo nazo
    Hizo ambazo zimekuvutia
    Kwenye hizo zimekuvutia
    Hizo ambazo zimekuvutia wewe
    Kwenye hizo zimekuvutia
    Zimekuvutia

    Ati bora ningesema toka mwanzo
    Kama upo hata kwenye yako mawazo
    Kisa nilie mapendo nilizo nazo
    Hizo ambazo zimekuvutia
    Hizo zimekuvutia
    Zimekuvutia
    Hizo zimekuvutia mimi
    Zimekuvutia

    Usinizuge kwa makiss kibao
    Ati Diamond nakupenda sana
    Nikiwa sipo unanipiga bao
    Kwa mamisemo kwa
    Utadharau namba hii uchechema
    Sasa vipi? Vipi? Vipi?
    Sasa vipi? Vipi? Vipi? Wee

    Hamna noma nitaride nao
    Bora mtakoma bonge la mshangao
    Aya wewe sawa

    Maneno kibao 'cause unipenda alrigt
    Na naomba mshangao zaidi ya kima alright
    Unasema hutaki niona na yeye
    He is just a friend baby naomba nielewe

    Ni wangapi nimeponda nao
    Wala kwanza sina mpango nao
    Ukiniona nao unasema maboy
    Sasa nitakuwa na wangapi
    Wangapi mimi?

    Sasa si wala we ungesema toka mwanzo
    Kama sipo hata kwenye yako mawazo
    Kisa nini ya mapenzi alizo nazo
    Hizo ambazo zimekuvutia
    Kwenye hizo zimekuvutia
    Hizo ambazo zimekuvutia
    Kwenye hizo zimekuvutia wewe
    Zimekuvutia

    Ati bora ningesema toka mwanzo
    Kama upo hata kwenye yako mawazo
    Kisa nilie mapendo nilizo nazo
    Hizo ambazo zimekuvutia
    Hizo zimekuvutia
    Zimekuvutia
    Hizo zimekuvutia mimi
    Zimekuvutia

    Baby girl najua unanipenda
    But sometime kwanini unenitenda
    Unaniumiza roho sifuati ya hao

    Nachill nafeel nahisi sina deal
    Na kama unakuja njoo tena for real ma
    Nakuja natoka nakuacha nacheka
    Ukiniona unadeka na kumbe nikiondoka unateta

    Baby I never want you go go
    Like crazy, nabaki sema no, no


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Diamond Platnumz y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección