Anakudanganya

Frida Amani

Letra

    Na na na na na
    Yeah, yeah

    So alinipigia simu akasema 'ananipenda' (enhee)
    Anataka kuwa na mimi wikiendi
    Na kama itakuwa fresh, tunaweza chill humo (weeh)
    Tukakaa tuka-drive bike, kila bar, club zunguka jiji la Dar
    Nikapenda idea, akasema fresh, ninakupitia Friday
    Look good, cause we gonna party all day
    I'mma be your baby, show you off, nakupenda, sikufichi
    Alipokata tu nikapiga kwa mina
    Shoga nimepata wangu wa maisha, nigga got it
    She said: send me his picture, I did
    Na akakaa kama five minutes hakunirudia, ikabidi ni text tena
    Vipi mbona kimya au wamjua?

    Yes, bitch, this nigga is a liar, ni malaya
    Alinitaka me nikamkataa akaenda kwa Kayla
    And he's been texting Lala, now you?
    Hana haya! Nikawa confused

    What? You serious?

    Yes, let me send you his texts
    Alikuja kwangu akasema anaweza kuwa na mimi forever
    (Hahaa)

    Aah I don't know
    I know, I know, I know (yeah)
    Let him know
    That you know, that you know, that you know
    Anakudanganya huyo
    Anakudanganya (yeah yeah)
    Anakudanganya huyo
    Anakudanganya (yeah yeah)
    What is love?

    Nikaanza jiuliza
    Bro can hurt hadi ameniumiza
    Nikataka kulipiza, askali mtumwe kekekaa
    We show him sisi sio wa kucheza nao

    Well, it's good though, maybe amebadilika
    Should I try it? Naweza dharirika
    Ila ana features ambazo me napenda
    Maybe me na kupendwa, so why should I care?
    But he looks like a player navyomtizama
    Nikaanza m-stalk Instagram
    Through the comments na wanaom-follow, nikadata (weeh)
    Nikagata kina wema, Mimi Mars
    Na comments za makopakopa, mezaa

    Nimenuna, I'm thinking about it
    Nikubali anifate
    Twende tuka-party hell whole night
    I'm thinking about it
    Nikubali anifate
    Twende tuka-party

    Aaah I don't know
    I know, I know, I know (yeah)
    Let him know
    That you know, that you know, that you know
    Anakudanganya huyo
    Anakudanganya (yeah yeah)
    Anakudanganya huyo
    Anakudanganya (yeah yeah)
    What is love?


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Frida Amani y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección