visualizaciones de letras 235

Nina Siri

Israel Mbonyi

Letra

    Nina siri naye Yesu
    Yanifanya niwe jasiri
    Kwa amani nayo dhiki
    Yanifanya niwe jasiri
    Yaniburudisha, nikirukaruka
    Hosana, Amen
    Yaniburudisha, nikirukaruka
    Nikiimba Hosana, Amen
    Nina siiri
    Nina siri naye Yesu

    (Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
    (Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
    (Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Hosana, Amen
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    Nikiimba Hosana, Amen
    Nina siri naye Yesu
    Yanifanya niwe jasiri
    (Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
    (Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Hosana, Amen
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Nikiimba Hosana, Amen
    Nina siri naye Yesu
    Yanifanya niwe jasiri
    (Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
    (Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Hosana, Amen
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Hosana, Amen

    Nina siri naye Yesu
    Yanifanya niwe jasiri
    (Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
    (Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Hosana, Amen
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Nikiimba Hosana, Amen

    Waambie wanaolia
    Wakiteswa na malimwengu
    Waonjeni neema yake
    Na rehema yake Mwokozi
    Watafunguliwa, watawekwa huru
    Hosana, Amen
    Watafunguliwa, watawekwa huru
    Hosana, Amen
    Waambie wanaolia
    Wakiteswa na malimwengu
    Waonjeni neema yake
    Na rehema yake Mwokozi
    Watafunguliwa, watawekwa huru
    Hosana, Amen
    Watafunguliwa, watawekwa huru
    Wataimba Hosana, Amen
    Nina siiri
    Nina siri naye Yesu
    Yanifanya niwe jasiri

    (Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
    (Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Hosana, Amen
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Nikiimba Hosana, Amen
    Nina siri naye Yesu (Mwokozi wangu)
    Yanifanya niwe jasiri
    (Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
    (Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Hosana, Amen
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Nikiimba Hosana, Amen
    Nina siri naye Yesu (Hallelujah)
    Yanifanya niwe jasiri

    (Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
    (Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Hosana, Amen
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Nikiimba Hosana, Amen
    Nina siri naye Yesu (Hallelujah)
    Yanifanya niwe jasiri
    (Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
    (Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Hosana, Amen
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka

    (Hosana) Nikiimba Hosana, Amen
    Nina siri naye Yesu (Hallelujah)
    Yanifanya niwe jasiri
    (Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
    (Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Hosana, Amen
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Nikiimba Hosana, Amen

    Nina siri naye Yesu
    Yanifanya niwe jasiri
    (Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
    (Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Hosana, Amen
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Nikiimba Hosana, Amen

    Yaniburudisha, nikirukaruka
    Hosana, Amen
    Nikirukaruka
    Hosana, Amen
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    Hosana, Amen
    Nina siri naye Yesu
    (Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
    (Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
    (Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
    (Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
    (Hosana) Hosana, Amen

    Hallelujah!
    Nikirukaruka
    Hosana, Amen
    Hallelujah!


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Israel Mbonyi y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección