visualizaciones de letras 169

Nitaamini

Israel Mbonyi

Letra

    Sasa naapa hakuna miungu n’taamini
    Satajitia unajisi, chakula cha ufalme
    Na sitauza urithi wa wokovu, anasa za kisasa
    Nina uhakika waweza, waweza kuniponya
    Hata usipo niponya, sitaabudu masanamu

    Naelewa maji na moto nitapita
    Kwenye uvuli wa mauti
    Nina wewe, sitaogopa kamwe
    Mungu wangu, wanishika mkono
    Wautuliza moyo wangu
    Sina mashaka, wanibeba mgongoni
    Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
    Hata usiyafanye hayo yote, bado nitaamini
    Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
    Hata usiyafanye hayo yote, bado nitaamini

    Sasa naapa hakuna miungu n’taamini
    Satajitia unajisi, chakula cha ufalme
    Na sitauza urithi wa wokovu, anasa za kisasa
    Nina uhakika waweza, waweza kuniponya
    Hata usipo niponya, sitaabudu masanamu

    Naelewa maji na moto nitapita
    Kwenye uvuli wa mauti
    Nina wewe, sitaogopa kamwe
    Mungu wangu, wanishika mkono
    Wautuliza moyo wangu
    Sina mashaka, wanibeba mgongoni
    Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
    Hata usiyafanye hayo yote, bado nitaamini
    Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
    Hata usiyafanye hayo yote, bado nitaamini

    Si Mara ya kwanza kunitoa katika magumu
    Nina ushuhuda: Zaidi ya moja, we ni mwaminifu
    Nina historia maalum, we ni chemchem’ ya uzima

    Si Mara ya kwanza kunitoa katika magumu
    Nina ushuhuda: Zaidi ya moja, we ni mwaminifu
    Nina historia maalum, we ni chemchem’ ya uzima

    Si Mara ya kwanza kunitoa katika magumu
    Nina ushuhuda: Zaidi ya moja, we ni mwaminifu
    Nina historia maalum, we ni chemchem’ ya uzima

    Naelewa maji na moto nitapita
    Kwenye uvuli wa mauti
    Nina wewe, sitaogopa kamwe
    Mungu wangu, wanishika mkono
    Wautuliza moyo wangu
    Sina mashaka, wanibeba mgongoni
    Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
    Hata usiyafanye hayo yote, bado nitaamini
    Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
    Hata usiyafanye hayo yote, bado nitaamini

    Nitaamini, bado nitaamini
    Ulichosema nami, Yesu we
    Nitaamini
    Wewe ukiyajibu maombi yangu, nitakwamini
    Hata usinijibu, Yesu we, nitakwanini
    Nitaamini, bado nitaamini
    Ukiniponya nitaamini
    Hata usiniponye, bado nitaamini
    Ukinijibu, nitaamini
    Hata usinijibu, bado nitaamini
    Ukibadilisha, nitaamini
    Hata usibadilishe bado nitaamini
    Kwenye uvuli wa mauti bado nitaamini
    Nina ushuhuda, wewe ni mwaminifu

    Nitaamini, bado nitaamini
    Ulichosema nami, Yesu we
    Nitaamini
    Wewe ukiyajibu maombi yangu, nitakwamini
    Hata usinijibu, Yesu we, nitakwanini
    Nitaamini, bado nitaamini
    Ukiniponya nitaamini
    Hata usiniponye, bado nitaamini
    Ukinijibu, nitaamini
    Hata usinijibu, bado nitaamini
    Ukibadilisha, nitaamini
    Hata usibadilishe bado nitaamini
    Kwenye uvuli wa mauti bado nitaamini
    Nina ushuhuda, wewe ni mwaminifu

    Nitaamini, bado nitaamini
    Ulichosema nami, Yesu we
    Nitaamini
    Wewe ukiyajibu maombi yangu, nitakwamini
    Hata usinijibu, Yesu we, nitakwanini
    Nitaamini, bado nitaamini
    Ukiniponya nitaamini
    Hata usiniponye, bado nitaamini
    Ukinijibu, nitaamini
    Hata usinijibu, bado nitaamini
    Ukibadilisha, nitaamini
    Hata usibadilishe bado nitaamini
    Kwenye uvuli wa mauti bado nitaamini
    Nina ushuhuda, wewe ni mwaminifu

    Kwenye uvuli wa mauti bado nitaamini
    Nina ushuhuda, wewe ni mwaminifu

    Nitaamini
    Nitaamini
    Nitaamini

    Nitaamini
    Nitaamini
    Nitaamini

    Nitaamini
    Nitaamini
    Nitaamini


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Israel Mbonyi y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección