Kidawa (feat. Shaa)

Izzo Bizness

Letra

    Shaa
    Mama aliniita kidawa
    Kweli kwako nimekuwa dawa
    Umwa nikuponyeshe lazizi
    Umwa nikuuguze mpenzi
    Wewe kwangu kama shampaign
    Kwenye sherehe nikufungue wewe
    Karibu kwangu kama mgeni
    Ukae kwenye pango moyoni

    Yoo
    Kwako nimefika mwingine, mi simtaki mama
    Malengo yangu kuwa nawe, mi nasema
    Niko tayari kujifunza ma, staki feli na
    Haijalishi mi wa kwanza situfike mbali (mbali)
    Juu ya vikwazo kwenye penzi
    Tulale njaa, labda mipango ya Mwenyezi
    Mi ndo ntakuwa makini, juu ya penzi lako
    Nitapigana kuhakikisha, naitunza hadhi yako
    U-u unavyoshine napagawa mi mtu mzima ma
    Colour unavyo-combine, unamelemeta ma
    Designer gani kaku-design, you look shallow tina tina bey
    Ooh, you look shallow tina tina
    Sema lunch twende wapi? Mi nataka we u-enjoy
    Ma baby ndani ya Versace, mnyamwezi Suit n' Tie
    Kitandani ofisini kwangu, vile tuna Do Biz na wewe
    Mradi baby we upagawe

    Shaa
    Mama aliniita kidawa
    Kweli kwako nimekuwa dawa
    Umwa nikuponyeshe lazizi
    Nasema umwa nikutulize mpenzi
    Wewe kwangu kama shampaign
    Kwenye sherehe nikufungue wewe
    Karibu kwangu kama mgeni
    Kwenye pango moyoni

    Shaa
    Mimi niite kidawa mama yoyoo-hoo
    We kwangu ndo baba yoyoo-ooh
    Waacha ntulize moyo ooh
    Tusiogope vimbwanga vyao ooh
    Kama kupendwa napendwaga
    Nimetuliaga nayo
    Ndo sababu ilokufanya u-match na mie aah

    Yoo
    Twende bafuni tukaoge, nikusafishe body yako
    Taratibu tu kwa hisia, nikipapasa maungo yako
    Raha mkipendana, nakupensa mpaka basi
    Siogopi mapedeshee, mi kwako sina hata wasi
    Woga siku zote hufeli, uoga kwangu sitauruhusu
    Umejaliwa tabia nzuri, uko full siyo nusu nusu
    Jambo jema tutafika tutakapo na
    Ni raha watu wakisema you guys make a good couple
    Tushakula kiapo labda kifo kitutenge
    Sio vijisenti bey, muulize Chenge
    Bina twende wapi, mi nataka we u-enjoy
    Ma baby ndani ya Versace, mnyamwezi Suit n Tie
    Tabasamu ni fursa si kwetu mwiko kugombana
    Furaha huleta amani ya nini kulumbana
    Mapenzi tuishi sisi sio kuiga ama ku-beg love
    Twende ufukweni tu-make love mida ya sunset

    Shaa
    Mama aliniita kidawa
    Kweli kwako nimekuwa dawa
    Umwa nikuponyeshe lazizi
    Umwa nikuuguze mpenzi
    Wewe kwangu kama shampaign
    Kwenye sherehe nikufungue wewe
    Karibu kwangu kama mgeni
    Ukae kwenye pango moyoni

    Shaa
    Mimi niite kidawa mama yoyoo-hoo
    We kwangu ndo baba yoyoo-ooh
    Waacha ntulize moyo ooh
    Tusiogope vimbwanga vyao ooh
    Kama kupendwa napendwaga
    Nimetuliaga nayo
    Ndo sababu ilokufanya u-match na mie aah


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Izzo Bizness y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección