visualizaciones de letras 1

Unaniweza

Jux

Letra

    Abbah!

    Mlio ukicheka wee
    Mi moyo unanitabasamu
    Huyo mwenye kujihisi mwororo
    Ila ukilia we
    Hata kula nakosa hamu
    Huo mwenye kujihisi dororo

    Ukiwa karibu na mie, najiona bora
    Lakini ukiwa mbali baby baridi linachoma
    Uwepo wako na mie, umetia fora
    We ndo dakitari, darling nikutaka pona

    Unaniweza weza
    Unaniweza weza
    Unaniweza weza
    Unaniweza weza

    Sitamani mwingine
    Wala sidhani ka ataweza kutokea
    Maana mambo yako moto
    Moto moto

    Labda uvito shetani mwingine
    Maneno ya watu nishazoea, I don't care
    Kila kukicha choko choko
    Choko choko

    Unavyonipa raha
    Tu nanenepa mie
    Penzi lako natinga, naringa nambembea eeh
    Kinachokufaa usisite niambie
    Kwako niko radhi
    Hata zege nibebe, machinga ninadishe

    Ukiwa karibu na mie, najiona bora
    Lakini ukiwa mbali baby baridi linachoma
    Uwepo wako na mie, umetia fora
    We ndo dakitari, darling nikutaka pona

    Unaniweza weza
    Unaniweza weza
    Unaniweza weza
    Unaniweza weza

    For love, for love
    For love, for love
    I do it for love
    Unaniweza weza


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Jux y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección