America (feat. Zest)

Kala Jeremiah

Letra

    Attention please

    Oya Trump nipe visa
    Bill Gate nipe pizza
    Iwe kama miujiza
    Acha waseme ni nguvu ya giza

    Nasali mpaka nina sigida
    Sina rafiki, sina ndugu Dar
    Mangaluka mlichiza
    Mandilaga wiza

    Nafumba macho navuta hisia
    Naona dollar zinaning'inia
    Nimechoka kusikilizia
    Acha nisafiri ata kwa maji kama kinikia
    Ata kibishi nitazamia
    Hata ndege nitandandia
    Siwezi sema nitachikichia
    Lazima nirudi maana bongo nina familia

    Usinifuate, acha!
    Mi nataka kwenda America, acha!
    Mi nataka kwenda usinifuate, acha!
    Mi nataka kwenda America, acha!
    Mi nataka kwenda

    Ninataka, ninataka ninataka
    Ninataka kwenda America, yeah
    Yaani nataka, nataka, nataka
    Nataka kwenda America, yeah

    Bado nasubiri asali
    Ninasubiria safari
    Bwana snitch kaa mbali
    Mwaga mboga nimwage wali

    Moyo unakwenda mbio mbio kama pikipiki
    Ma Yuda wangu watakoma dili likitiki
    Yeah, yaani watapata taabu sana
    Wale walionifanya kutubu mwaka jana

    Hebu Trump nipe visa
    Bill Gate nipe pizza
    Na nimepanga kulipiza
    Na nimejiapiza
    Naona kama miujiza
    Naona nimewamaliza

    Usinifuate, acha!
    Mi nataka kwenda America, acha!
    Mi nataka kwenda usinifuate, acha!
    Mi nataka kwenda America, acha!
    Mi nataka kwenda

    Ninataka, ninataka ninataka
    Ninataka kwenda America, yeah
    Yaani nataka, nataka, nataka
    Nataka kwenda America, yeah

    Am black don't shoot me
    I have a dream don't kick me
    Am a Martin Luther King
    Love one another
    For the future of human being

    Let me see Kilimanjaro
    Serengeti, ngorongoro
    Na mikumi ya Morogoro
    Ila acha niende nikasake kama mwanapolo

    Ninaipenda Tanzania
    Nchi yangu najivunia
    Mzalendo mwenye nia
    Nitarudi kusalimia

    I wanna come to America
    I wanna visit America
    I wanna hurry in America
    I wanna live in America

    Usinifuate, acha!
    Mi nataka kwenda America, acha!
    Mi nataka kwenda usinifuate, acha!
    Mi nataka kwenda America, acha!
    Mi nataka kwenda

    Ninataka, ninataka ninataka
    Ninataka kwenda America, yeah
    Yaani nataka, nataka, nataka
    Nataka kwenda America, yeah

    Acha! Acha! Acha!


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Kala Jeremiah y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección