Papa (feat. Elani & Bryan)

King Kaka

Letra

    Bryan
    Huu wimbo ni wako baba
    Natarajia uko salama
    Nakumbuka ulivyo kazana
    Na sura yako baba nitakumbuka
    Oh, oh, oh

    Okay
    Siwezi wadanganya, me sikua poa na my father
    Nilijionea kwa macho zangu aki-disagree na mother
    Kifaranga itakua jogoo, huonekana yai ikitagwa
    I was a kid in '93 naikumbuka kama jana
    And that's why (rest his soul) I never talk about him
    Na nilipromise mom next day, nitaenda kumwona hosi
    Deep within I was bitter, jua kadhaa zikapita
    Machozi kwa giza but nasmile in disguise
    Ati nimwache apone kwanza, ndio apate nguvu ya ku-apologize
    Hadi alitumana, I always blame myself for that
    Fursa tu, nikakataa kusema goodbye to dad
    Hio kitu huniuma hadi wa leo
    Wimbi zangu zimepotea kwa uteo

    Huu wimbo ni wako baba
    Natarajia uko salama
    Nakumbuka ulivyo kazana
    Na sura yako baba nitakumbuka
    Oh, oh, oh

    Elani
    Wewe (papa, papa, papa)
    Wewe (papa, papa, papa)
    Wewe (papa, papa, papa)
    Wewe (papa, papa, papa)

    Hata nikisema asali mara ngapi utamu haitafika kwa mdomo
    Ndio kitu niligundua vile tu nyi mlikuwa wadogo
    Saa hii me ni father of two before mzaliwe mlikuwako news
    Naomba baadae mtanielewa, kwa saa hii me nitawalea
    Mnatoa meno lini, I wish mngekuja na manual
    Plus narespect mama zenu vile situation walihandle
    Tumedisagree, tumego for days hatujaongea
    Hata maji sakafuni after day inapotea
    Nawish singeido, but nikiwatazama it's so good
    Na mimi sio perfect, hakuna moment naregret
    Busy kwa stage na Onset, ndio muwe na chakula kwa plate
    Nawapenda, niko njiani
    Kwangu everyday ni Father's day

    Elani
    Huu wimbo ni wako baba
    Natarajia uko salama
    Nakumbuka ulivyo kazana
    Na sura yako baba nitakumbuka
    Oh, oh, oh

    Wewe (papa, papa, papa)
    Wewe (papa, papa, papa)
    Wewe (papa, papa, papa)
    Wewe (papa, papa, papa)

    Bryan
    Huu wimbo ni wako baba
    Natarajia uko salama
    Nakumbuka ulivyo kazana
    Na sura yako baba nitakumbuka
    Oh, oh, oh

    (Papa, papa, papa)
    (Papa, papa, papa)
    (Papa, papa, papa)
    (Papa, papa, papa)

    Elani
    Huu wimbo ni wako baba
    Natarajia uko salama
    Nakumbuka ulivyo kazana
    Na sura yako baba nitakumbuka
    Oh, oh, oh

    Wewe (papa, papa, papa)
    Wewe (papa, papa, papa)
    Wewe (papa, papa, papa)
    Wewe (papa, papa, papa)


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de King Kaka y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección