Hapana

Kusah

Letra

    Hata waseme nini sikuachi
    Ndio kwanza umepanda na chati
    Umenidhibiti umeshika na shati
    Umeshinda umevunja kamati

    Mwenzio umejitoa mhanga
    Kwenye huba lako
    Nichape nipeleke utakavyo
    Mimi punda wako

    Sitoshika simu yako
    Ila shika yangu nimekubali
    Hao hao wafiki zako
    Wanokusema mimi sikubali

    Eti wanasema
    Mara unagawa kwa vipande
    Oh unakwenda kwa mpalange
    Eti sikwezi nikajipange
    Mara nikuache ukadange

    Baby mi hapana, kukuacha hapana
    Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana
    Baby mi hapana, kukuacha hapana
    Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana

    Hushangai nishakufumania
    Ila bado nimeng'ang'ania
    Penzi lako limenizidia
    Na mwaka huu watanizika

    Na si walisema kwamba hubebeki
    Leo nakubeba yaani kudadeki
    Mmh afe kipa au afe beki
    Nishakuwa wako liwalo liwe

    Sitoshika simu yako
    Ila shika yangu nimekubali
    Hao hao wafiki zako
    Wanokusema mimi sikubali

    Eti wanasema
    Mara unagawa kwa vipande
    Oh unakwenda kwa mpalange
    Eti sikwezi nikajipange
    Mara nikuache ukadange

    Baby mi hapana, kukuacha hapana
    Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana
    Baby mi hapana, kukuacha hapana
    Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Kusah y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección