Hapana
Kusah
Hata waseme nini sikuachi
Ndio kwanza umepanda na chati
Umenidhibiti umeshika na shati
Umeshinda umevunja kamati
Mwenzio umejitoa mhanga
Kwenye huba lako
Nichape nipeleke utakavyo
Mimi punda wako
Sitoshika simu yako
Ila shika yangu nimekubali
Hao hao wafiki zako
Wanokusema mimi sikubali
Eti wanasema
Mara unagawa kwa vipande
Oh unakwenda kwa mpalange
Eti sikwezi nikajipange
Mara nikuache ukadange
Baby mi hapana, kukuacha hapana
Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana
Baby mi hapana, kukuacha hapana
Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana
Hushangai nishakufumania
Ila bado nimeng'ang'ania
Penzi lako limenizidia
Na mwaka huu watanizika
Na si walisema kwamba hubebeki
Leo nakubeba yaani kudadeki
Mmh afe kipa au afe beki
Nishakuwa wako liwalo liwe
Sitoshika simu yako
Ila shika yangu nimekubali
Hao hao wafiki zako
Wanokusema mimi sikubali
Eti wanasema
Mara unagawa kwa vipande
Oh unakwenda kwa mpalange
Eti sikwezi nikajipange
Mara nikuache ukadange
Baby mi hapana, kukuacha hapana
Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana
Baby mi hapana, kukuacha hapana
Unachonipa hapana, mi kukikosa hapana



Comentarios
Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra
Forma parte de esta comunidad
Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Kusah y explora más allá de las letras.
Conoce a Letras AcademyRevisa nuestra guía de uso para hacer comentarios.
¿Enviar a la central de preguntas?
Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.
Comprende mejor con esta clase: