Suscríbete
visualizaciones de letras 13

Nilizama (feat. Machozi Band)

Lady Jaydee

Letra

    Kumbe nilizama kwa brother meni
    Kumbe nilizama kwa sista duu
    Kumbe nilizama kwa brother meni
    Kumbe nilizama kwa sista duu

    Sijui niseme nini moyo wangu unyamaze
    Au sifa zako hadharani nizieleze
    Sema unachotaka utapata wangu mpenzi
    Siku zote nimekuweka moyoni
    Lakini bado wewe waniumiza
    Kwanini mimi wanifanyia hivyo?
    Wenye mimi kila siku nalia
    Kwa sababu yako oh wewe
    Oh mamii

    Ushamba gani huo lakini!
    Kosa ni kukupenda au nini?
    Unaonyesha message zangu kweli! Inahusu nini?
    Kuniweka speaker phone (inamaanisha nini?)
    Nilidhani wa kutoka shamba tu ndo washamba
    Kumbe hata mjini he-he-heiya (loh!)
    Matusi kila kukicha, kubembeleza kusokwisha
    Tafuta wa kuchoresha, Jay Dee nimechoka

    Kumbe nilizama kwa brother meni
    Kumbe nilizama kwa sista duu
    Kumbe nilizama kwa brother meni
    Kumbe nilizama kwa sista duu

    Brother meni anadai kuwa eti ananipenda mimi
    Huku nyuma ya mgongo wangu anatoka na jirani
    Anawatuma washikaji zake kwangu
    Anatafuta kisa ili anibwage
    Anawatuma washikaji zake kwangu
    Anatafuta kisa ili anibwage

    Eh, eh nyumbani kwetu maa nilikutambulisha
    Na marafiki zangu walikupenda sana
    Lakini moyo wangu umeuumiza
    Mapenzi ya kisista duu sitaki tena
    Mama wee, Samu mimi naumia

    Nashindwa kusema, nikisema labda sitaeleweka
    Mapenzi jamani yamejaa visa ndugu yangu
    Oh unaemupenda huenda asikupende
    Usiemupenda akuganda, ganda, ganda kama gundi
    Kukuacha nimeshindwa, kuendelea pia visa kibao
    Mmh naumia

    Kumbe nilizama kwa brother meni
    Kumbe nilizama kwa sista duu
    Kumbe nilizama kwa brother meni
    Kumbe nilizama kwa sista duu

    Yelelele tunakuja eh, tunakuja kivingine eh
    Machozi Band twakuja yeh, tunakuja kivyetu vyetu
    Yele maa tunakuja eh, tunakuja kivingine eh
    Machozi Band tunakuja yeh, tunakuja kivyetu vyetu
    Na Nure tena (mama)
    Anakuja (mama)
    Machozi Band (mama)
    Inakuja (mama)
    Ale Lady Jay Dee, Jay Dee (mama)
    Anakuja (mama)
    Toto Gardner (baba)
    Anakuja (baba)

    Kusema unaweza utanipa mapenzi
    Ni mapenzi gani ya kibrother meni yoyo
    Umechemsha, na haina kwere

    Machozi Band (mama)
    Inakuja (mama)
    Ale Lady Jay Dee, Jay Dee (mama)
    Anakuja (mama)
    Toto Gardner (baba)
    Anakuja (baba)


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Lady Jaydee y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección