visualizaciones de letras 6

Wangu (feat. Mr. Blue)

Lady Jaydee

Letra

    Nilisha kuwaga na wangu, ila akanitenda
    Hakuthamini utu wangu Akaniacha akaenda
    Nilisha kuwaga na wangu, ila akanitenda
    Hakuthamini utu wangu, akaniacha akaenda
    Nikabaki nalia na roho, nikabaki nalia na moyo
    Nikabaki nalia na roho, nikabaki nalia na moyo

    Wivu unahusika kwenye mapenzi ya kweli
    Na chuki hudhihirika ikiwamo utapeli
    Wivu unahusika kwenye mapenzi ya kweli
    Na chuki hudhihirika ikiwamo utapeli aaah aaah
    Moyo kiza kinene huwezi kujua
    Yupi mkweli yupi muongo anaekuzingua
    Na moyo giza nene huwezi kujua
    Yupi mkweli yupi muongo anaekuzingua aaah

    Nilisha kuwaga na wangu, ila akanitenda
    Hakuthamini utu wangu, akaniacha akaenda
    Nilisha kuwaga na wangu, ila akanitenda
    Hakuthamini utu wangu, akaniacha akaenda
    Nikabaki nalia na roho, nikabaki nalia na moyo
    Nikabaki nalia na roho, nikabaki nalia na moyo

    Yule fedha, huyu mvuto
    Vishawishi na tamaa, ujana maji ya moto
    Huyu mkubwa, yule mdogo
    Vishawishi na tamaa, ujana maji ya moto
    Kesha usiku mchana ukiomba dua
    Walaghai ni wengi wanataka akiugua
    Kesha usiku mchana ukiomba dua
    Walaghai ni wengi wanataka akiugua aah

    Nilisha kuwaga na wangu, ila akanitenda
    Hakuthamini utu wangu, akaniacha akaenda
    Nilisha kuwaga na wangu, ila akanitenda
    Hakuthamini utu wangu, akaniacha akaenda
    Nikabaki nalia na roho (nalia na roho, nalia na moyo)
    Nikabaki nalia na moyo (nalia na roho, nalia na moyo)
    Nikabaki nalia na roho (aah what? nalia na roho)
    Nikabaki nalia na moyo, (Jay Dee!)

    Mr. Blue
    Nilimpa penzi, kamjali kwa maradhi, mavazi na makazi
    Kumbe mshenzi, hana hadhi, bure tu nampandisha ngazi
    Nikamweka wazi kwa paparazi
    Nikamleta uswazi kwa wazazi
    Kumbe sina demu naishi na jambazi
    Mi naziba huku, kule pako wazi no!
    Sitaki tena kuumia moyo
    Sitaki tena unione poyoyo
    Sitaki hilo penzi la kichoyo
    Mi sitaki mifupa mi kibogoyo
    Nataka vile vitu laini, no money, no honey nimebaini wee
    Kwanini naumia kila saa,
    wakati penzi lako haliendi bila ya chapaa paa

    Nilisha kuwaga na wangu, ila akanitenda
    Hakuthamini utu wangu, akaniacha akaenda
    Nilisha kuwaga na wangu, ila akanitenda
    Hakuthamini utu wangu, akaniacha akaenda
    Nikabaki nalia na roho (moyo)
    Nikabaki nalia na moyo (nalia na roho, nalia na moyo)
    Nikabaki nalia na roho (mh mmh)
    Nikabaki nalia na moyo (Jay Dee!)


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Lady Jaydee y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección