Suscríbete

Ngarambe (feat. Pop Karly)

Leteipa the King

Letra

    Kameshona kama kiondoo
    Kifuani niembe Ukitaka ujimenyee, Kama kametoka Bondo
    Kanavyonyandua dompo, Hakajaalikwa kinywaji kajiekee, bado kanatepa bondoo
    Kanadai wine na cider zinaboo
    Form ni mangwai mawada na machrome
    Na kamedecide, kuwahi Chali Masai
    Juu size ya kijinai ni fine na Wana dooh
    She likes castles na hakadai hustle
    She is like mambo please nadai bundles
    Please kabuy sandals, hills ziwahi kando
    Mi sidai scandals maybe nikuwahi cuddle

    Kitega uchumi chake saidong'i (eeh)
    Thao jamo kanawahi mbogi, (eeh)
    Hata ukiwa na mbao hakatai noti (eeh)

    (Ngarambe nyosto Ngarambe) laugh
    (Ngarambe nyosto Ngarambe)
    (Ngarambe) kalishower mwaka Jana ni mafuta kamejipaka
    (Ngarambe nyosto Ngarambe) luku mpaka kaombe ndio Sasa katokee
    (Ngarambe) kamedunga claddy mpya na thango linakiraka
    (Ngarambe nyosto Ngarambe) sura wacha tuongee, pengine tukaombee
    (Ngarambe)

    Slay queen anadai mtu pesa
    Bila doh anadai utamtesa
    Ukiwa nazo pia anadai kuziwaste aah
    Cheza mbali bro lenga hizo stress
    We ni tapeli umepatana na matheri
    Zako vako we huwezi nitapeli
    Zako vako we huwezi bonga kweli
    Sura chura basi kama nakejeli
    After this Kuna wale watacatch
    Mi sijali kama ngoma umekutouch
    Nishasema so siwezi nikareverse
    Get a life basi kama nakujudge
    (Ngarambe nyosto Ngarambe)

    Kitega uchumi chake saidong'i (eeh)
    Thao jamo kanawahi mbogi, (eeh)
    Hata ukiwa na mbao hakatai noti (eeh)

    (Ngarambe nyosto Ngarambe) laugh
    (Ngarambe nyosto Ngarambe)
    (Ngarambe) kalishower mwaka Jana ni mafuta kamejipaka
    (Ngarambe nyosto Ngarambe) luku mpaka kaombe ndio Sasa katokee
    (Ngarambe) kamedunga claddy mpya na thango linakiraka
    (Ngarambe nyosto Ngarambe) sura wacha tuongee, pengine tukaombee
    (Ngarambe)

    Unafaa kuwa pedi, unavyopenda kumedi
    Princess pat na unaflash mpaka zedi
    Una deals shady unavyopenda mijeledi
    Sikuchochi naona ukikufa na ukedi
    Kufua hupendi, na bafu huendi
    Unasubiria mkapige sheshe wikendi
    Aah

    (Ngarambe nyosto Ngarambe)


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Leteipa the King y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección