Lawama
Malkia Karen
Penzi unalionea
Waizunguka njia
Ukuta nilioegemea
Leo wanichafua
Hata ujiteteaje
Story zako mi napewa
Waona unanionaje
Kunivuruga kila mara
Kwani sisi tupo wangapi
Ama mimi mshika shati
Na chakula hakiliki baba we
Kila siku kesi kesi
Kwani sisi tupo wangapi
Ama mimi mshika shati
Na chakula hakiliki baba we
Kila siku kesi kesi
Nimechoka mwenzio (lawama)
Oh, oh (lawama)
Sina swaga yeyote (lawama) na wewe (lawama)
Ujuzi wangu wa zamani (ni noma, ni noma)
Kila ninachofanya hakuna (ni noma, ni noma)
Aiyaa aiyaaa
Ona moyo unalipuka
Maana uishi kunizuga zuga
Tena umegeuka yuda
Sikomi kunisulama
Nia yako niumie
Tezo naiweka embe
Maruhani nisaidie
Panda palipo na pete
Kwani sisi tupo wangapi
Ama mimi mshika shati
Na chakula hakiliki baba we
Kila siku kesi kesi
Kwani sisi tupo wangapi
Ama mimi mshika shati
Na chakula hakiliki baba we
Kila siku kesi kesi
Nimechoka mwenzio (lawama)
Oh, oh (lawama)
Nimechoka na wewe (lawama)
Mapenzi yangu ya zamani (ni noma, ni noma)
Kila ninachofanya hakuna (ni noma, ni noma)



Comentarios
Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra
Forma parte de esta comunidad
Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Malkia Karen y explora más allá de las letras.
Conoce a Letras AcademyRevisa nuestra guía de uso para hacer comentarios.
¿Enviar a la central de preguntas?
Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.
Comprende mejor con esta clase: