Sina (feat. Meja Kunta)
Malkia Karen
Oya, aah!
Ooh!
Oya, oya, oya
Oya oya oya oya oya
Labda nipate nafasi
Niseme nawe kidogo
Mwenzako moyo waenda kasi
Nimekumiss sio kidogo
Labda nipate nafasi
Niseme nawe kidogo
Mwenzako moyo waenda kasi
Nimekumiss sio kidogo
Nikueleze mapenzi
Hivi unajua
Yanaweza kufanya ukalia
Kumbe hupendwi, unajisumbua
Ye anaonaa
Mama mapenzi
Hivi unajua
Yanaweza kufanya ukalia
Kumbe hupendwi, unajisumbua
Yee anaonaa
Napiga simu
Mpenzi nakupenda
Ukiwa mbali mi nateseka
Kumbe mshenzi anadanga
Na ukikata simu anacheka
Jamani aah (aah!)
Ooh (ooh)
Jamani aah (aah!)
Ooh (ooh)
Ah!
Aah!
Sina sina sina sina sina
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie
Sina sina sina sina sina
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie
Mi najiuliza mengi
Hivi ni nani aniwazaye
Mbona sipendwi
Ama riziki yangu baadae
Mi napata uchizi
Jamani nani anipendaye
Mi sijiwezi
Hivi ni yupi mi niwe naye
Yote sawa nishachoka kuwa roho juu
Usiponipenda utajiju
Ila siwezi lia na wewe tu
Bora nijidangie vibabu babu
Aah!
Nijidangie vibabu
Sina sina sina sina sina
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie
Jamani aah (aah!)
Ooh (ooh)
Jamani aah (aah!)
Ooh (ooh)
Oh jamani
Ana mchicha uko nyuma umeinuka ivo
Ana mchicha uko nyuma umeinuka ivo
Ana mchicha uko nyuma umeinu
Ooh jamani ukienda mbele poa (poa)
Ukirudi nyuma poa (poa)
Ukinama poa (poa)
Ukinuka poa (poa)
Basi poa poa poa (poa)
Ukinama poa (poa)
Ukinuka poa (poa)
Ukienda mbele
Wee jamani, mama lishe poa (poa)
Wanafunzi poa (poa)
Yaani poa poa poa (poa)
Boda boda poa (poa)
Aaah meja hebu tulia kwanza
Pesa kidogo tu umeenda kuweka na jino
Chefuu!



Comentarios
Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra
Forma parte de esta comunidad
Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Malkia Karen y explora más allá de las letras.
Conoce a Letras AcademyRevisa nuestra guía de uso para hacer comentarios.
¿Enviar a la central de preguntas?
Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.
Comprende mejor con esta clase: