visualizaciones de letras 1

Ifunanya

Marioo

Letra

    Hum, hum yeah

    Baby nipe mimi tu
    Vile vya uvunguni
    Mwenzio kwenye mapenzi
    Nishaenyeka
    Nifikishe mpaka juu
    Mawinguni
    Mwenzio kwenye mapenzi
    Nishaenyeka

    Kama koroni sina hata moyoni sina
    (Zaidi ya wewe)
    Chaguo linguine sina
    Ndio maana nakufata nizikwe na wewe

    Acha nikwambie tu
    Hii siri ya moyo wangu
    Hata nikificha mboni zitaniumbua aah
    Acha nikuonyeshe kina na upama wa mapenzi yangu
    Na huwe wangu wa milele niwe wako

    Ifunanya, ifunanya
    Ifunanya, ifunanya

    Nishapitia mengi hadi nusu nijipige kitanzi nkachoropoka
    Hile kutapa tapa kama mufa maji nkakorofoka
    Nikawa na chembe ya ukicha aah
    Mikasa ya mapenzi inakorokocha
    Simanzi kutwa kuccha sijiwezii iih

    Basi chonde chonde iwe mwisho na usije nikatili
    Hayo majeraha uniuguze uniuguze
    Illa acha nikwambie tu
    Hii siri ya moyo wangu
    Hata nikificha mboni zitaniumbua
    Acha nikuonyeshe kina
    Na upana wa mapenzi yangu
    Na uwe wangu wa milele niwe wako

    Ifunanya, ifunanya
    Ifunanya, ifunanya

    Aaannhh mwenzio ooh
    Ifunanya
    Kwako wee ndo sijiwezi
    Ifunanya
    Hata nyendo sina aah
    Mbele sioni iih
    Ifunanya
    Nakupendaga wewe tu (ifunanya)
    Hmmhh yeah, hum


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Marioo y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección