Raha

Marioo

Letra

    Aah mmmh mmmh
    Ah unaringa umepima? Aii utajiju
    Huu mwaka utachina
    Si ulileta unyang'au

    Ukaukwi kunitishia
    Unaondoka unaondoka
    Kama daladala za Kariakoo
    Inatoka inatoka

    Hadharani unanisusia
    Kuropoka ropoka
    Ama domo lako shimo la choo
    Yanakutoka

    Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
    Maana nishapata pa kuegemea
    Mmmmh napendwa, na sio kwa ninavyojidekea
    Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea

    Ooh kutendwa
    Nakusikia kwenye bomba
    Na tena naenjoy

    Mpa ka raha mpaka natakatishwa
    Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
    Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
    Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy

    Napenda akinipa
    Akinipa migandisho
    Kama anapigwa shoti
    Akisakata migandisho

    Na kama mapenzi
    Roho yake bahari
    Huu muda naelea
    Maana nishazamaga
    Nishakufa mzoga

    Na kama penzi melody kali
    Mi kwake ndo burudani
    Wala sidhani ka
    Ataridhika kunikosa

    Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
    Maana nishapata pa kuegemea
    Mmmmh napendwa, na sio kwa ninavyojidekea
    Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea

    Ooh kutendwa
    Nakusikia kwenye bomba
    Na tena naenjoy

    Mpa ka raha mpaka natakatishwa
    Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
    Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
    Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Marioo y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección