visualizaciones de letras 5

Bembeleza (feat. Z Anto)

Marlaw

Letra

    Nipesa simu nibembeleze
    Hey, hey hello Ma
    Laiti ungekuwa unaniona
    Vile kila time nakonda nawaza
    Kama kukupata nitaweza

    Jinsi gani kukueleza
    Au mi sijui bembeleza
    Usinikatae utaniumiza
    Nakupenda kukutenda sitoweza

    Kila time nakuangalia usoni ma
    Sio kamaa nakosa neno kusema
    Ulivyo ma anafanya kosa kunena
    Ingawa moyo hautaki kunena tena

    Wazo kichwani lina beep (kukueleza)
    Ila vibaya ukinijibu (bembeleza)
    Nahisi sijui bembeleza
    Utakataa halafu mi utaniumizaa

    Kidesign nakuangalia usoni ma
    Kuna sign za kuita huko machoni ma
    Kitu fulani umehifadhi huko moyoni ma
    Unachotaka nianze mikusema
    Hapa unafanya nijione (nitashinda)
    Hapa unafanya nitamke (nakupenda)
    Ilaunacho jibu mdomoni nitofauti nausеmacho machoni

    We Dada mi unaniumiza
    We dada sijamaliza
    Mbona unakata simu
    Pleasе usikate ma

    Hey, hey hello ma
    Laiti ungekuwa unaniona
    Vile kila time nakonda nawaza
    Kama kukupata nitaweza

    Jinsi gani kukueleza
    Au mi sijui kubembeleza
    Usinikatae utaniumiza
    Nakupenda kukutenda sitoweza

    Hello ma
    Laiti ungekuwa unaniona
    Vile kila time nakonda nawaza
    Kama kukupata nitaweza

    Jinsi gani kukueleza
    Au mi sijui kubembeleza
    Usinikatae utaniumiza
    Nakupenda kukutenda sitoweza
    Kati yetu imetawala rangi ya pinki (pink)
    Kitu ambacho moyoni siridhikii
    Nacho kuomba tuwe zaidi ya marafiki
    Inajionyesha machoni unaafiki

    Lugha ya macho kwa sasa (nakataa)
    Tataka tuongee ilitufikie (mwafaka)
    Ooh aah, aah

    Kwenye party ulikuja umependeza
    Kwenye traini ukaniomba mi kucheza
    Tukadance na macho umelegeza
    Ulinibamba nikaficha kukueleza

    Unanimaliza
    Mimi ninakweleza
    Minakupembeleza
    Baby please baby girl
    Vile unatamka
    Wewe kuona nataka
    Tuonge Ana kwa Ana
    Baby please baby girl

    We Dada mi unaniumiza
    We dada sijamaliza
    Mbona unakata simu
    Please usikate ma
    Hey, hey hello ma
    Laiti ungekuwa unaniona
    Vile kila time nakonda nawaza
    Kama kukupata nitaweza

    Jinsi gani kukueleza
    Au mi sijui kubembeleza
    Usinikatae utaniumiza
    Nakupenda kukutenda sitoweza

    Hello ma
    Laiti ungekuwa unaniona
    Vile kila time nakonda nawaza
    Kama kukupata nitaweza

    Jinsi gani kukueleza
    Au mi sijui kubembeleza
    Usinikatae utaniumiza
    Nakupenda kukutenda sitoweza

    Hoow (hoow)
    Sasa kama (kama)
    Umenielewa mbona

    Unachelewa sana
    Nambie nije, nije sasa hivi
    Umenielewa mbona
    Unachelewa sana
    Nambie nije, nije sasa hivi


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Marlaw y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección