
Mtaalam
Mbosso
Na Mbosso Khan tena
(Sounds by Abbah)
Una kila sababu
Ya kusimama kimaso maso
Mungu kweli wa ajabu
Kanionyesha kwa yangu macho
Chukua zangu swahabu
Mi nibaki na dhambi zako
Unishikishe adabu
Mida ya kulala nitokwe jasho
Mi sijui kupigna mwili wangu wa mapensi dear
Tusipende kugombana mi mwepesi kulialia
Si kujibanabana, raha ya penzi kujiachia
Wako mahututi mama, nimekufa nimejifia
Eeeh! Nalambishwa asali
Kwenye mzinga wa nyuki, tamu ni hatari
Nalambishwa asali
Nachezeshwa buzuki, dudu chalichali
Nimempata!
Nimempata mtaalam nimempata
Nimempata mtaalam nimempata
Nimempata mtaalamu nimempata
Nimempata mtaalamu nimempata
Mi mTanzania wa halali, ila chembechembe za India
Mungu kaninyima ufahari, ila kwa huba najisifia
Sitakuhonga magari, ila mahaba utasanzia
Penzi kachumbari kwa ugali na pilipili ya kushagia
Aah eeh! Nikuite nani?
Majina yote nishamaliza
Aah eeh! Wangu wa ubani
Umeweza kunituliza
Aah eeh! Mambo ya chumbani
Yaani nalala huku napulizwa
Aah eeh! Penzi zito tani
Napewa raha kupitiliza
Eeeh! Nalambishwa asali
Kwenye mzinga wa nyuki, tamu ni hatari
Nalambishwa asali
Nachezeshwa buzuki, dudu chalichali
Nimempata! Nimempata mtaalam nimempata
Nimempata! Nimempata mtaalam nimempata
Mtaalamu wa mapenzi
Nimempata mtaalamu nimempata
Fundi wa mafundi kungwi
Nimempata mtaalamu nimempata
Wasafi



Comentarios
Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra
Forma parte de esta comunidad
Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Mbosso y explora más allá de las letras.
Conoce a Letras AcademyRevisa nuestra guía de uso para hacer comentarios.
¿Enviar a la central de preguntas?
Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.
Comprende mejor con esta clase: