visualizaciones de letras 2

Madanga Ya Mke Wangu (feat. D Voice)

Meja Kunta

Letra

    Aah, aah, aah
    Aah, aah

    We jamani mke wangu anadanga lake
    Mwenzenu ananikosha

    We kila siku ikifika morning
    Lazima atume pesa

    Mama watoto anadanga
    Na mke mwenzenu anikosha wewe, onaa
    We kila siku ikifika morning
    Lazima atume pesa, onaa

    Lakini danga wa juzi amenikera
    Amekuja hajaacha mizigo wala hela
    Alafu sidangi dangi na masela
    Danga na mapedeshe tupate hela

    We ukipata bwana wa kizungu
    Nenda naye kwa Mpalange
    Mi mumeo nimekuruhusu kadange
    Mwaka huu wife lazima tujenge
    Wasio tupenda sa waambie wajipange

    Naheshimu madanga ya mke wangu
    Maana ndo yanayonipa faida
    Naheshimu madanga ya mke wangu
    Maana ndio yanayonifanya nashiba

    Naheshimu madanga ya mke wangu mimi
    Ndo yanayofanya navimba
    Eeh madanga ya mke wangu
    Maana ndio yanayonifanya naringa

    Madanga ya mke wangu yananipa faida
    Oyaa oyaa oyaa oyaa oyaa oyaa oyaaa
    Aah, aah

    Siku hizi mzinga wa ving'asti ndio umepea
    Mjini kila demu anapenda hela
    Halafu usiukadanga na maboya
    Kesho usije kurudi bila hela

    Sa baby ngoja nikuambie
    Nenda kadange upate kigari tuwavimbie
    Ooh baby ngoja nikuambie
    Nenda kadange upate kigari tuwavimbie

    Halafu home usirudi mapema
    Usicheze na kazi ma mtu utachina
    Kwani madanga ndugu hayajatema
    Mi nimemiss kula chips na nyama

    Kama ukipata bwana wa kizungu
    Nenda naye kwa Mpalange
    Mi mumeo nimekuruhusu kadange
    Mwaka huu wife lazima tujenge
    Waso tupenda sa waambie wajipange

    Naheshimu madanga ya mke wangu
    Maana ndo yanayonipa faida
    Naheshimu madanga ya mke wangu
    Maana ndio yanayonifanya nashiba

    Naheshimu madanga ya mke wangu mimi
    Ndo yanayonipa faida
    Eeh madanga ya mke wangu
    Maana ndio yanayonifanya nashiba
    Aah, aah

    Noma sana twendee, twendee maa
    Kwanza nikuulize hivi unamjua Yesu?
    Yubu Khan nikuulize unamjua Yesu we?
    Shabalala nikuulize unamjua Yesu we?
    Boss Peter nikuulize unamjua Yesu?

    So kwa jina la Baba hilo
    Na la mwana hilo, na la Roho mtakatifu Amina
    So kwa jina la Baba hilo
    Na la mwana hilo, na la Roho mtakatifu Amina

    Yule dada anayecheza kati mnamjua?
    Ndo MashaLove alo kalia chupa akapasua
    We yule dada anayecheza kati mnamjua?
    Ndo Wanjala alo kalia chupa akapasua

    Basi twende msimshike jamani Ana shot ua umeme
    Na kibaridi kwa mbali muacheni ateteme
    Msimshike ajibu Ana shot ya umeme
    Na kibaridi demla mwacheni ateteme

    Kati mwacheni ateteme Ajibu ateteme
    Basi mwacheni ateteme Shabalala ateteme


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Meja Kunta y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección