Suscríbete
visualizaciones de letras 4

Una (feat. Young Lunya & Marioo)

Mimi Mars

Letra

    (RoofTop audio station)

    Na anajiamini
    Halali nje analala na mimi
    Ndani ndani
    Wengine wa nini, yeiye
    Anadata anavyopewa na mimi
    Chumbani chumbani

    Una (una una)
    Unanichanganya (una una)
    Unavyonifanya (una una)
    Unanichanganya sana
    Tena ukinigusaga
    Na kunipazaga
    Unanichanganya sana

    Ukinigusa napagawa kote
    Unanichanganya unavyonipa vyote
    Ukinigusa napagawa kote
    Unanichanganya unavyonipa vyote

    Ukinigusa napagawa kote
    Unanichanganya unavyonipa vyote
    Ukinigusa napagawa kote
    Unanichanganya unanichanganya

    Weka niweke wee
    Weka niweke wee
    Weka niweke wee
    Weka niweke wee

    Hata kama nitakosea usininunie beiby
    Niambie
    Bana si unajua mwanadamu
    Niambie
    Na unavyoninogesha ukija kuacha
    Mwenzako nitajutia
    Utanitoa roho, utanitoa roho

    Habari za mjini kwani nini wee
    Natoka na mimi kwani nini wee
    Mchezo mchezo na baby wa mimi wee
    Tulipotoka wanajua ni nini wee
    Sema ukweli nishampata, nishamnasa
    Alafu sasa na kwenye bedi mtamu haswa
    Chuma mimi ila sumaku ishamnasa
    Pelekeni angaza huo wenu ushauri na sasa
    Anavyozungusha hicho kiuno
    Mimi ndo nazidisha miguno
    Wanapataka sasa unavyowapatia michuno
    Kwani hawapati usingizi wakisikia miguno

    Una (una una)
    Unanichanganya (una una)
    Unavyonifanya (una una)
    Unanichanganya sana
    Tena ukinigusaga
    Na kunipazaga
    Unanichanganya sana

    Ukinigusa napagawa kote
    Unanichanganya unavyonipa vyote
    Ukinigusa napagawa kote
    Unanichanganya unavyonipa vyote

    Ukinigusa napagawa kote
    Unanichanganya unavyonipa vyote
    Ukinigusa napagawa kote
    Unanichanganya unanichanganya

    Weka niweke wee
    Weka niweke wee
    Weka niweke wee
    Weka niweke wee

    Umenishika pabaya
    Umenishika pabaya (oooh yeah babe)
    Umenishika pabaya
    We bwana ni mbaya

    Umenishika pabaya
    Umenishika pabaya (aah aah)
    Umenishika pabaya
    We dada ni mbaya

    Una una, una una
    Una una, una una


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Mimi Mars y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección