Unaionaje (feat. Harmonize)

Msodoki Young Killer

Letra

    Touch!

    Haa kumekucha masela hebu chembezeni stick
    Manaake mziki hauna hela ila ila hela kuiopata mziki
    Sikufichi ambao hawapendi wanakoma
    Hasa ndo naua band maana natoboa kila ngoma
    Wananisoma ngoma bomba kwa touch
    Waloniambia nile kone nkaambia wale penalty
    Toka jiji la samaki mama alipo nipa siri
    Kuwa biashara faster hakuna mwanaharakati tajiri

    Pili watu waajabu sana
    Ila me na adhabu sana, mabeste
    Hapo nilikusoma mwana
    Wasanii wanaloga sana, ndo maana mipete (wote chechee)
    Wote tunampenda Mungu, maana mpaji hapingiki
    Sa vipi anakupa hi huku akisema Mungu akubariki
    Siwezi kushiriki kwenye dhambi yako
    Ili ukatwe mikono kisha ule kwa macho
    Nisipo vuja jasho alokuwa nyuma yangu atakula wapi
    Hapo ndo naamini kuwa wenye huruma hanaga bahati
    Huu ndo uwezo binafsi vijana m-relaxy
    Nakuomba usimtusi baba kama ujui utakula wapi

    Na hadithi za sungura me sitaki ehe!
    Niletee hadithi za watoto wenye chura wa masaki
    Naukisikia nauza sura juu ya laki
    Maana uhai ni faida ikiwa hasara ni nafsi

    Usichoke we kunja
    Kunja ukunjavyo me ntatusua
    Hizi juhudi sio ndomba
    Akisha panga apangavyo uwezi pangua
    Asa temeke na ilala
    (Ah! Ah! Unaionaje) he ah!
    (I say unaionaje)
    Hadi manzese, mabagala
    (Ah! Ah! Unaionaje) he ah!
    (I say unaionaje)

    Haa! Chuki huletwa na wivu na kushushiana hadhi
    Na rafiki ndo atakae kuharibia kazi
    Atakupindishia michongo na kukuvunjia nazi
    Bongo ukifanikiwa unachukiwa wazi wazi
    Ila sisi kazi kazi wengine tumetoka kwenye msoto
    Kuoga mpaka tushikwe viboko
    Naona umeandaa mkaa arufu hauna kiberiti we mtoto
    Chokoza wana wakuwashie moto
    Hebu nipite kushoto maana unanichukia
    Hata unisaidii unanitukana hata sifatilii sizimi chuku
    Maana mwisho kuroga wisho unakuwa
    Mchawi kwa maana utamu kunoga
    Unaogopa nini toba we binti acha uoga
    Mbona unakula beer arufu nguvu niza soda
    Sura hashiki poda unasifiwa na mawaki
    Kisha unaota mabembe utazani umekula nyati binafsi

    Hadithi za sungura me sitaki ehe!
    Niletee hadithi za watoto wenye chura wa masaki
    Naukisikia nauza sura juu ya laki
    Maana uhai ni faida ikiwa hasara ni nafsi

    Usichoke we kunja
    Kunja ukunjavyo me ntatusua
    Hizi juhudi sio ndomba
    Akisha panga apangavyo uwezi pangua
    Asa temeke na ilala
    (Ah! Ah! Unaionaje) he ah!
    (I say unaionaje)
    Hadi manzese, mabagala
    (Ah! Ah! Unaionaje) he ah!
    (I say unaionaje)


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Msodoki Young Killer y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección