Suscríbete
visualizaciones de letras 3

Dume Suruali (feat. Vanessa Mdee)

MwanaFA

Letra

    We ni dume suruali kaa mbali nami, mbali nami
    Kama dume suruali kaa mbali nami, uendani nami

    Hudat hudat hii ni salam na ufahamu
    Kama unauza mapenzi siyo kwa binamu
    Huna haja ya kusubiri hii ni hukumu
    Hakuna kitu utapata utangoja kama askari wa zamu
    Dume suruali, dume kaptula
    Shauri zako ilimradi sipati hasara
    Usione utani me sihongi hata kwa ishara
    Utaniambia nini mpaka unigeuze fala
    Kwanza nasikia hongo zinaleta mkosi
    Sentano yangu hugusi hata ukiongea kidosi
    Yabaki mapenzi tusileteane ujambazi
    Hata upige sarakasi utachonga viazi
    (Bahili kama nini!)
    Ndiyo mnavyosema
    Na ukiniomba kesho hunisikii tena
    Kwani unauza nini dada, hunitakii mema

    We ni dume suruali kaa mbali nami, mbali nami
    Kama dume suruali kaa mbali nami, uendani nami
    I want that Gucci, Fendi, spend it on a girl like me
    My name is Vee Money, money, spend it on a girl like me

    Nihonge nanunua nini kwa nini yaani!
    Kuna kipi nisichokijua ina TV ndani?
    Usiulize n’takupa nini dada piga moyo konde
    Viuno vingi kama mwali wa kimakonde
    Usipende hela kama mfuko
    Au fanya unavyofanya upate zako
    Vishawishi vingi binti sema na moyo wako
    Na ujifunze pesa zinauza utu wako
    Tajiri mtata kama Salah
    Zipo ila sitoi sobe hili me ni balaa
    Unapenda hela zangu nami nazipenda pia
    Kila mtu abaki na zake bye baby, tutaongea
    (Mwanaume wa hivyo wa nini sasa!)
    Ndiyo mnavyosema
    Na ukiniomba kesho hunisikii tena
    Kwani unauza nini dada, hunitakii mema

    We ni dume suruali kaa mbali nami, mbali nami
    Kama dume suruali kaa mbali nami, uendani nami
    I want that Gucci, Fendi, spend it on a girl like me
    My name is Vee Money, money, spend it on a girl like me

    Aje aje ajee me mtoto fulani ghali
    Nihonge gari, ma sweet sweet baby
    Wanna see you today, unipeleke party
    Aje aje ajeee njoo nikupe TBT

    Siyo kwa enzi ya Magufuli
    Zali ilikuwa long siku hizi hakuna la mentali
    Nikikuhonga na ukiniacha nitakujia usingizini
    Naepusha shari matatizo yote ya nini
    Hakuna kipya chini ya jua
    Hata nisiyoyafanya nishayasikia
    Ningekuwa mhongaji ningeshafulia wangu
    Mademu wangu wa zamani wote wangekuwa maadui zangu
    (Mwanaume hovyo wewe!)
    Ndiyo mnavyosema
    Na ukiniomba kesho hunisikii tena
    Kwani unauza nini dada, hunitakii mema
    (Baki na hamu zako!)

    We ni dume suruali kaa mbali nami, mbali nami
    Kama dume suruali kaa mbali nami, uendani nami
    I want that Gucci, Fendi, spend it on a girl like me
    My name is Vee Money, money, spend it on a girl like me

    Baba bure huyu!
    Hata pantoni lina staff
    Unamwambia nani sasa!
    Unamwaaambia nani sasa!


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de MwanaFA y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección