visualizaciones de letras 2

Hata Sielewi (feat. Maua Sama)

MwanaFA

Letra

    Faalsafaa
    Falsafa Hommie
    Samaa
    Are you listening?

    Bonge la mtoto, bonge la zigo
    Naamini sioti coz naipenda hii ndoto
    Sitoi boko na naamini hayuko soko
    Ntamvisha pete leo leo
    Sio wa mchezo ka kazi ya kwenye video
    Ananikaanga roho, ananisaga moyo
    Sipo sawa akili imevurugwa nayo
    Nilikuwa poa tu kabla hatujakutana
    Gangster kama mimi hakuna
    Hana wasiwasi anatembea kama hataki,
    anajivuuta na kila hatua ina nukta
    Kiuno cha nyigu, rangi ya kinugu
    Nashangaa maujuzi ya Mungu
    Hakuna kovu hakuna sugu
    Maswali bila ya majibu

    So unafanya nionekane chizi
    (Hata sielewi nini la kufanya)
    Akili hazifanyi ka zimekufa ganzi
    (Hata sielewi naona nyota mamaa)
    Where you coming from?
    Hata sielewi, sielewi
    Where you coming from?
    Hata sielewi, sielewi

    Sielewi sielewi eeh, eeh
    Sielewi sielewi eeh, eeeh

    Sielewi lugha nyingine
    Macho yamegoma hayaoni kiumbe mwingine
    Huyu ntakopa ntaazima
    Ila lazima ninyooshe mji mzima
    Acha moyo unibebe unipeleke unapotaka
    Ntarudi siku ukitaka
    I'm all in, I'm fallin’
    Maskio yataniziba akiniita darling
    Moyo unanienda mbio, naisoma namba
    Mwili mlaini utasema aliumbwa kwa pamba
    Hana chale hana shanga
    Mimacho imentoka ile kishamba
    Sina hakika ni chiicha au ganja za zamani
    Ila ana siifa za kuitwa mwandani
    Tuchangie shuka, tuchangie majina
    Nimshike mkono niende nae dunia nzima

    So unafanya nionekane chizi
    (Hata sielewi nini la kufanya)
    Akili hazifanyi ka zimekufa ganzi
    (Hata sielewi naona nyota mamaa)
    Where you coming from?
    Hata sielewi, sielewi
    Where you coming from?
    Hata sielewi, sielewi

    Sielewi sielewi eeh, eeh
    Sielewi sielewi eeh, eeeh

    Maua
    Umetokea wapi kwani?
    Na umetumwa na nani?
    Umekuja na uganga wa wapi?
    Nilikuwa sawa kabla sijakutia machoni
    Sielewi sielewi eeh, eeh
    Sielewi sielewi eeiiih, eeeh

    So unafanya nionekane chizi
    (Hata sielewi nini la kufanya)
    Akili hazifanyi ka zimekufa ganzi
    (Hata sielewi naona nyota mamaa)
    Where you coming from?
    Hata sielewi, sielewi
    Where you coming from?
    Hata sielewi, sielewi

    Hata sielewi naona nyota mamaa
    Hata sielewi naona nyota mamaa


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de MwanaFA y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección