visualizaciones de letras 4

We Endelea Tu

MwanaFA

Letra

    Kwa Mungu hakuna majungu, mi nina Mungu
    We endelea tu (aah, aah)
    We endelea tu

    Kwa Mungu hakuna majungu, mi nina Mungu
    We endelea tu (aah, aah)
    We endelea tu

    As you can see am ghetto and fabulous
    Hella zinafanya dunia inazunguka, let me handle this
    Sihitaji beats kutingisha kichwa chako
    Naflow tu kama nina beats za moyo wako
    Wakikuuliza naendelea aje waambie vizuri zaidi ya jana
    Vizuri zaidi ya wao, Mungu Ana manguvu sana
    Miluzi mingi na kubwa la mbwa sipotei
    Mipango ya miaka chungu nzima na dira hunitoi
    Yeah naitika nikijisikia, maisha usiyavalie kikoi
    Na sio lazima yakubali, kwani una yadai
    Subira haivuti bangi, haigongi nyagi
    Inavuta heri tu na haijawahi kubugi
    Kilienda kwa mganga na ka unavyoona kimerudi
    Hata kama hukipendi kukiheshimu inakubidi
    Mbuyu ulianza ka mchicha ila mcha haujawahi kuwa mbuyu
    Sikiza walofanikiwa, ongeza zako mbayu wayu
    Anayejifanya anakwamua, anakushika upigwe babu
    Mtia mitama, siku nyingine hashiki adabu
    Kama message sipendi, boss namshoot mpaka messenger
    (Boss namshoot mpaka messenger)

    Kwa Mungu hakuna majungu, mi nina Mungu
    We endelea tu (aah, aah)
    We endelea tu

    Kwa Mungu hakuna majungu, mi nina Mungu
    We endelea tu (aah, aah)
    We endelea tu

    Kiko ntawa, kishuwa uki mtaa
    Nikucheza na namba namba ka mtu mbaya Salah
    Kiko ntawa, kishuwa uki mtaa
    Nikucheza na namba namba ka mtu mbaya Salah

    Tafta hela za kutosha ila usipige nazo picha
    Maisha yanabadilika, kausha nitakufundisha
    Pozi za kigoloko lazima zitakufelisha
    Amua mwenyewe, utazika utasafirisha?
    Hakuna kukupigia ngoma kukuambia kuwa umekua
    Miyeyusho majukumu, utakuja tukuombe dua
    Utaamka tu unajua kuwa wachawi pia wanafiwa
    Hata ukiwa kiboko kuna mahali utazidiwa
    Huh, ukiwa mkubwa utataka kuwa kama mimi
    Shati navaa la jana ila gari nimebadili
    Heshima yako ilienda wapi? Heshimu pesa baada ya dini
    Kwenu hakuna wakubwa wangekuwepo ungeniamini
    Mwanga siti mtoto amlee, kwanza namkausha kizazi
    Kata sehemu za siri, zitupe mto Zimbazi
    Mi sio mgeni hapa, najua miili inapozikwa
    Na kitabu hapa najua nini kimeandikwa
    Ni rehema za Mungu tu na maamuzi yake tu
    Kashamuua, alicho amua si ni wake tu
    Kisasi ya kita nitibu hela na we utakuwa umeumia
    So hata nisipo kwambia, hivi ndo navyo jiskia

    We endelea tu (aah, aah)
    We endelea tu (aah, aah)
    (Aah, aah)

    We endelea tu
    We endelea tu


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de MwanaFA y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección