Kolo
Nini Tanzania
Hamjui kupenda
Kutwa mwaumiza eeh
Na umenipa donda
Nashindwa uguza eeh
Kama ingekuwa tenda
Ningeshafukuzwa eeh
Ona furaha yangu imegeuka chozi
Ona leo natamani
Ile michezo ya chumbani
Mara sweet mara honey
Kumbe ilikuwa sinema
ooh jamani
Penzi liko rehani
Nishapoteza na imani
We niache niende eeH
Uliniona kolo (kolo kolo ooh)
Ulikosa kipi ukaniacha solo (solo solo ooh)
Hauridhiki eti mi ndombolo (ya solo solo ooh)
Nigeuke muziki ukanigeuza kiporo (eh, eh) kiporo
Wala sitamani (aya wee aya)
Uwenda we sio fungu langu (aya wee aya)
Bora nibaki pekeyangu (aya wee aya)
Uwenda we sio fungulangu (aya wee aya)
Kaa mbali na akili yangu
Yapo mengi ya kukatisha tamaa ah
Nilivumilia ilimradi niwage na wewe Baba aah
Vituko vingi na fujo kara aah
Nilipuuzia ili tu niishi na wewe
Una kisirani
Ndani ya nyumba tafarani
Vurugu katuko vitani unanionea aah
We mwanaume gani hasira Zaidi
Ya shetani acha niweke begi begani
Maana utanuia aah
Uliniona kolo (kolo kolo ooh)
Ulikosa kipi ukaniacha solo (solo solo ooh)
Hauridhiki eti mi ndombolo (ya solo solo ooh)
Nigeuke muziki ukanigeuza kiporo (eh, eh) kiporo
Wala sitamani (aya wee aya)
Uwenda we sio fungu langu (aya wee aya)
Bora nibaki pekeyangu (aya wee aya)
Uwenda we sio fungulangu (aya wee aya)
Kaa mbali na akili yangu
Uwenda we sio fungu langu (aya wee aya)
Bora nibaki pekeyangu (aya wee aya)
Uwenda we sio fungulangu (aya wee aya)
Kaa mbali na akili yangu



Comentarios
Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra
Forma parte de esta comunidad
Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Nini Tanzania y explora más allá de las letras.
Conoce a Letras AcademyRevisa nuestra guía de uso para hacer comentarios.
¿Enviar a la central de preguntas?
Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.
Comprende mejor con esta clase: