
Mama la Mama
Rayvanny
Mama, mama, mama
La mama eeh
(Ayolizer)
Mola amenipa sauti niimbe
Nakuimbia wewe, ai
Woman of my life baby mama
Nakupa mabawa, fly
Nani ata dawa utapiwe
Uzuri wako wewe, myn
Material wife huna drama
Niende kwa mwingine, why?
Cha mapenzi kinaa kipime
Uone dhahiri upendo wangu
Usije kunitupa wewe (aah wewe)
Sina mwingine
Na sitobadili chaguo langu
Moyo wangu nakupa wewe (aah wewe)
Chocolate colour nywele laini
Lips mafuta na zina shine
Nguo za kung'ara your design
Thanks to the Lord now you're mine
Sema pwani ya mabara wapi fine
Tukitoka out tukanywe wine
Figure 8 kinara sio nine
Unapenda wasafi tutaku sign
We ndo mama mama, mama la mama
We ndo mama mama, mama la mama
We ndo mama mama, mama la mama
We ndo mama mama, mama la mama eeh
Nikitazama sura yake namwona modo
Naiona taswira ya adabu sioni nyodo
Nauona mpapai alafu unafwata embe dodo
Nawaona wasopenda amani wote macho kodo
Ah ningepeleka wapi hichi kichwa kigumu
Ningepata wapi mwanamke wa kudumu
Ajiunge na Wasafi tusukume gurudumu
Na mnajuaga sitaki haya mambo ya kunywa sumu
Aah mama la mama, ooh mama mia aah
Kwako nimezama nimezama, nimezamia aah
Nihifadhi kama maji kwenye mwili wa ngamia
Usijali kuhusu mambo ya tango na vibamia
Nichakaze shawty, nikanyage sorry
Kwangu kuwa mchaga asubuhi nile kama mtori
Tafadhali shawty usinipandishe mori
Na ukinipa nyama naila kama mnyama pori
We ndo mama mama, mama la mama
We ndo mama mama, mama la mama
We ndo mama mama, mama la mama
We ndo mama mama, mama la mama



Comentarios
Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra
Forma parte de esta comunidad
Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Rayvanny y explora más allá de las letras.
Conoce a Letras AcademyRevisa nuestra guía de uso para hacer comentarios.
¿Enviar a la central de preguntas?
Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.
Comprende mejor con esta clase: