visualizaciones de letras 1

Dakika Moja

Ruby Tanzania

Letra

    Ooh, ooh
    Hey yeii yeah

    Sukari imegeuka chumvi
    Aka amegeuka chui
    Matope yamekuwanga vumbi
    Maziwa yamegeuka tui

    Upendo na baba ni kwa zamani
    Siku hizi kufa kufaana
    Upendo hauna dhamani, hey
    Upendo na mama mama mama ni kwa zamani
    Siku hizi kufa kufaana
    Upendo hauna dhamani

    Dunia ina raha yake iyee
    Na mabaya yamo humo
    Na visanga vyake iyee
    Na mabaya yamo humo

    Ukifika nenda mwambie
    Dakika moja tu
    Mimi nataka niongee naye
    Dakika moja tu

    Akichelewa nitasubiri
    Nitangoja tu
    Ila nataka niongee naye
    Dakika moja tu

    Naona kama me nachomwa na jua
    Usiku mkali, na maradhi naugua
    Unanichanganya, navyo sema nazingua
    Kisasi na salary, me nawaza nawazua

    Aah, si ulikubali, kwa kila hali baba
    Leo mwisho wa safari, unarudi nyuma baba
    Si ulikubali, kwa kila hali baba
    Leo mwisho wa safari, unarudi nyuma baba

    Hee, dunia ina raha yake iyee
    Na mabaya yamo humo
    Na visanga vyake
    Na mabaya yamo humo

    Ukifika nenda mwambie
    Dakika moja tu
    Mimi nataka niongee naye
    Dakika moja tu

    Akichelewa nitasubiri
    Nitangoja tu
    Ila nataka niongee naye
    Dakika moja tu

    Mwambie azibe nyufa
    Akichelewa nitakufa

    Hey
    Sawa sawa, sawa sawa
    Sawa sawa, sawa sawa
    Sawa sawa, sawa sawa
    Sawa sawa, sawa sawa


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Ruby Tanzania y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección