visualizaciones de letras 1
Letra

    (Fraga got the recipe)

    Waliniita kimbaumbau, kiguu na njia
    Ila nikadharau, nikapuuzia
    Leo kwao kafa nyau, yanawanukia
    Kwetu twafinya pilau, yametimia

    Ooh wanjara, walete bunyero ooh
    Mi nataka kulimwaga razi (na makagheroo)
    Waite na mapaparazi (wapate kero)
    Wale wenye magho ya nazi (bando la jero)

    Wapate vya kuperuzzi

    Habari ziende kwa ma ex
    Penzi waliodhulumu
    Tena nimepata tetesi
    Mmoja ataka kunywa sumu

    Kisaa jamani kisaa
    Nikauliza kisaa, kisa leo naolewa
    Naolewa, naolewa mie (ooh sheba)
    Naolewa, naolewa mie

    Nilikosaga na dira kwa maneno ya waja
    Ooh subira aah, mbele inafaraja
    Asa chereko, ngoma lipo uwanjanii
    Mwali na mideko, kama nimetoka ngomani

    Aii yuko wapi mamie mwali
    Aje anibebe mgongoni
    Amuite daddy mwali waje
    Wayarudi ya msondondo

    Bibi anacheka, zawadi kaleta
    Na kitenge na mkeka
    Na kibunda cha pesa
    (Aah aah aah)

    Habari ziende kwa ma ex
    Penzi waliodhulumu
    Tena nimepata tetesi
    Mmoja ataka kunywa sumu

    Kisaa jamani kisaa
    Nikauliza kisaa, kisa leo naolewa
    Naolewa, naolewa mie (ooh sheba)
    Naolewa, naolewa mie

    Sina sina makosa (mtoto wa mwenzio)
    Sina sina makosa (utajiua)
    Sina sina makosa (mtoto wa mwenzio)
    Sina sina makosa (utajiua buree)

    Buree, buree


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Ruby Tanzania y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección