Letra

    Kama sos
    Mi ndio Boss
    Mi ndio worldboss

    Mariaa ah
    Ukiniwacha utaniumiza girl
    Mariaa ah
    Si nilikupenda vile mi hupenda ki sssh sssh
    Mariaa ah
    Nakupenda nakwambia girl
    Mariaa ah
    Ukiniwacha utaniumiza girl

    Kuna vile mi nahisi umenifanya mi nisinzie eeh
    Ni kama unanichoma mi nisipokuona roho oo
    Hadi nitakuja very quickly baby mi ukiniita we
    Kuna vile mi nahisi kwangu sio rahisi wee

    Kuna Maria anapenda pesa (pesa)
    Kuna Maria anapenda nature
    Na pia kuna Maria ukimpata
    Ukitaka utaitapa hatakuwacha ukiteseka
    Kila siku yako shamba utaifyeka
    Vizuri tena sana ataiweka
    Wangu Maria kumpata si rahisi
    Si kama wale hupatikana hivi hivi
    Maria mzuri ni yule unaweza mturn bibi
    Maria bado anaweza kufanya uchizi
    Ukamkosa kwa wiki amini usiamini
    Kumpata Maria yule wako si rahisi
    Maria nakueleza vile anahisi
    Maria tabia si ati kingi
    Chunga marafiki wengine wanafiki
    Tunza wako poa na nko sure mtakaa fiti

    Mariaa aah
    Ukiniwacha utaniumiza girl
    Mariaa aah
    Si nilikupenda vile mi hupenda ki sssh sssh
    Mariaa aah
    Nakupenda nakwambia girl
    Mariaa aah
    Ukiniwacha utaniumiza girl

    Kuna vile mi nahisi umenifanya mi nisinzie eeh
    Ni kama unanichoma mi nisipokuona roho oo
    Hadi nitakuja very quickly baby mi ukiniita we
    Kuna vile mi nahisi kwangu sio rahisi wee

    Am fine with the girl like you
    Girl niko fine tu na wewe
    Infact sikutake out tu
    Niko serious sa you will know that
    Zzero niko in love with you
    Eeh beiby scream my name
    Ju nataka twende far with you
    No lies no limits beiby
    Am fine with a girl like you
    Girl niko fine tu na wewe
    Infact sikutake out tu
    Niko serious sa you will know that

    Mariaa aah
    Ukiniwacha utaniumiza girl
    Mariaa aah
    Si nilikupenda vile mi hupenda ki sssh sssh
    Mariaa aah
    Nakupenda nakwambia girl
    Mariaa aah
    Ukiniwacha utaniumiza girl

    Kuna vile mi nahisi
    Umenifanya mi nisinzie eeh
    Ni kama unanichoma
    Mi nisipokuona roho oo

    Hadi nitakuja very quickly
    Baby mi ukiniita we
    Kuna vile mi nahisi
    Kwangu sio rahisi wee


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Zzero Sufuri y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección