Letra

    Kwani niaje bado hujaskia ati ati
    Tingisha hizo mara matia tia ti
    Mikono juu ka unapenda matia tia tia
    Right, left ati ati

    Kwani niaje bado hujaskia ati ati
    Tingisha hizo mara matia tia ti
    Mikono juu ka unapenda matia tia tia
    Right, left ati ati

    Si napenda vile muda unayoyoma
    Si ni kama gode vile inakuchoma
    Si ni kama mbuku rada nishasoma
    Bado huto tutoto tupoa poa bado natuona

    Eeeh mahali niko huwezi uliza swali mtu
    Hapa kila mtu ako na kutu
    Shika wako mi nishike wangu mutu eeeh
    Acha kipusa basi mi nikubusu

    Ati kam tuzitoke, tudance adi shoke
    Na usiogope, mdogo tuziondoke
    Mkate msake, nipate njote
    Nai hadi coste, mi washa ni note

    Nakuwanga fete, twende twendete
    Shaka machete, jibambe usitete
    Si, leo ni siku yako mami
    Kam tukawatoke tukakule kingwai
    Na bado ukinijenga sitabaki ati ati ati

    Kwani niaje bado hujaskia ati ati
    Tingisha hizo mara matia tia ti
    Mikono juu ka unapenda matia tia tia
    Right, left ati ati

    Kwani niaje bado hujaskia ati ati
    Tingisha hizo mara matia tia ti
    Mikono juu ka unapenda matia tia tia
    Right, left ati ati

    Ati ati ati ati ati
    Tingisha hizo mara matia tia ti
    Rombosha ka uko nazo matia tia tia
    Matia tia tia

    Tingisha hizo mara matia tia ti
    Rombosha ka uko nazo matia tia tia
    Matia tia tia

    Cheki, mambo Lucy napenda hako ka pussy
    Kakue ka brown sanasana tu keusi
    Kako na tunywele tusoft ka tausi
    Ni karefu sana mi hukapimaga na uzi na

    Venye kuna joto si ukatoe ndani ya kamisi
    Najua kanasikia njaa, hakajabonya toka juzi
    Mi ndio nawezana, hao wengine jo ni upuzi
    Eeeh, hao wengine cheki

    Ati ni ngware ngware mdogo mdogo nikipiga bag
    Kamsupa kakakam kakadai kahug
    Kakadai nimpige maji mpaka ijae kwa jug
    Mdogo mdogo tukicheki movie ya Snoopie Dog

    Cheki, kwani niaje bado hujaskia ati ati
    Tingisha hizo mara matia tia ti
    Mikono juu ka unapenda matia tia tia
    Right, left ati ati

    Kwani niaje bado hujaskia ati ati
    Tingisha hizo mara matia tia ti
    Mikono juu ka unapenda matia tia tia
    Right, left ati ati

    Si napenda vile muda unayoyoma
    Si ni kama gode vile inakuchoma
    Si ni kama mbuku rada nishasoma
    Bado tutoto tupoa poa bado natuona

    Eeh mahali niko huwezi uliza swali mtu
    Hapa kila mtu ako na kutu


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Zzero Sufuri y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección