Amelowa

Harmonize

Letra

    Hiyo miinamo huko nyuma yaliyomo yamo eeeh
    Binti wa makamo come closer na give me some more
    Kama tunda lilimshinda Adamu akashindwa kuvumilia
    Sa kwanini tuitane binamu na nyongo itatumbukia
    Ulimi ukipitiliza kunanimaliza mwenzako bado najiuliza
    Hivi ni kweli ama tunaigiza
    Moyo umezama kwake bila yeye siwezi toboa
    Mi ndo fundi wa raha zake natwanga nakukoboa

    Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gia
    Zikanipanda hisia na nilipochuchumia maji yakatoka

    Amelowa, amelowa amelowa na mvua
    Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua
    Mtoto amelowa amelowa amelowa na mvua
    Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua

    Uuh aah ameniweka kwenye chupa ndo maana natamba
    Uuh aah kwenye papara pupa nawona washamba
    Jeupega mwanao wenye kwilejakuloa jejikukila mwanau
    Liduvalipapa ukakaukyilamba, liduvalipamba ukakaukakyilamba
    Moyo umezama kwake bila yeye siwezi toboa
    Mi ndo fundi wa raha zake natwanga nakukoboa
    Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gia zikanipanda hisia
    Na nilipochuchumia maji yakatoka

    Amelowa, amelowa amelowa na mvua
    Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua
    Mtoto amelowa amelowa amelowa na mvua
    Amelowa amelowa amenyeshewa na mvua

    Ameniweka kwenye chupa ndo maana natamba
    Kwenye papara pupa nawona washamba
    Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gia zikanipanda hisia
    Na nilipochuchumia maji yakatoka amelowa


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Harmonize y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección