visualizaciones de letras 1
Letra

    Yao Yao
    Oh nah nah nah
    Mmmh

    Sometimes what you dream can't be receiving
    Na huwezi kuvuna usichokipanda
    Thanks God for giving

    Ghetto sikuwa na umeme wala cable
    Jeans moja T-Shirt na yebo
    Ati leo namiliki lebo
    Lebo, Konde Gang lebo

    Siku zote kisicho kuua
    Kitakufanya uwe ngangari
    Ata mwanga huwezi kumjua
    So ishi nao kwa tahadhari

    My sister siku hizi shape ananunua
    We pambana upate salary
    Ila usisahau pesa maua
    So ukikosa hata usijali

    One love kwa wanangu wa kitaa
    Nyie ndo mnanunua CD
    Two love kwa wanafiki wa Insta
    Mnafanya niongeze bidii

    Three love kwa Master na Lita
    Mlinifanya hasira zizidii
    Four love, njia ngumu nilizopita
    Mkanipa na jina mkasema niitwe

    Jeshi! Konde boy Jeshi!
    Na hizi wananiita Tembo
    Jeshi! Hata we ni Jeshi!
    Yaani kama huna pigo za kirembo

    Ni Jeshi! Konde boy Jeshi!
    Yaani wanangu wananiita Tembo
    Jeshi! Hata we ni Jeshi!
    Yaani kama huna pigo za kirembo ni jeshi

    One love kwa wanangu wa kitaa
    Nyie ndo mnanunua CD
    Two love kwa wanafiki wa Insta
    Mnafanya niongeze bidii

    Ninaamini Mungu yupo
    Tena Naongea nae japo sisikii sauti yake
    Nikianguka ntainuka tena
    So usishangae why Tembo anahustle peke yake

    Coz I know, unapokiokota
    Ndo wakati wakutunza Ili kesho kisije potea
    Na unaposota ndo wakati wa kujifunza
    Ili ujue wapi ulipokosea

    Sio kama siwezi kujibizana
    Ila mwenzenu nimeumbwa na subra
    Eey, cheki madili yanavyogogana
    Coz nina nyota ya Libra

    Mbona siwaoni walotumwa kunitukana
    Vichwa vyao viko kibra
    Tena siku hizi siimbi sana
    Acha washindane na Ibrah

    I say One love kwa wanangu wa kitaa
    Nyie ndo mnanunua CD
    Two love kwa wanafiki wa Insta
    Mnafanya niongeze bidii

    Three love kwa Master na Lita
    Mlinifanya hasira zizidii
    Four love, njia ngumu nilizopita
    Mkanipa na jina mkasema niitwe

    Jeshi! Konde boy Jeshi!
    Na hizi wananiita Tembo
    Jeshi! Hata we ni Jeshi!
    Yaani kama huna pigo za kirembo

    Ni Jeshi! Konde boy Jeshi!
    Yaani wanangu wananiita Tembo
    Jeshi! Hata we ni Jeshi!
    Yaani kama huna pigo za kirembo ni jeshi

    One love kwa wanangu wa kitaa
    Nyie ndo mnanunua CD
    Two love kwa wanafiki wa Insta
    Mnafanya niongeze bidii

    Konde Boy!


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Harmonize y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección