visualizaciones de letras 1

Kainama (feat. Burna Boy & Diamond Platnumz)

Harmonize

Letra

    Konde Boy
    They call me Burna
    It's Platnumz

    Eeeh eeh eeh eeh
    Are you dey make me sit down dey sing this song (dala dala)
    You can't dey make me feel like I do you wrong (jaga jaga)
    If you want I might go give you more (jala jala)
    Today today, you go give me love (sawa sawa ooh)

    Eeeh eeh
    Nasifiwa kwa mapenzi na mademu
    Wanapagawa mpaka wananiita handsome
    Burna Boy, twaeka kila sehemu
    Wanapagawa mpaka wananiita handsome

    Nasifiwa kwa mapenzi na mademu
    Wanapagawa mpaka wananiita handsome
    Konde Boy, twaeka kila sehemu
    Wanapagawa mpaka wananiita handsome

    Hadi kaburu kwa mandera
    Rudi kwa bibi kinondoni
    Amber Lulu kunja dera
    Mwanangu Gigi simuoni, aje

    Aah inama (mama)
    Aah inuka (baby show them)
    Aah inama (hehehee)
    Aah shika ukuta (waonyeshe ulivyofunzwa)
    Aah inama (ah hii, go down baby)
    Aah inuka (give it to them baby)
    Aah inama (heehe)
    Aah shika ukuta (ruksa kutunza)

    Sio sura sio shepu, mi nikimuona taabani
    Hivi si Nuna, Sepetu, Ama nimuite jina gani?
    Baby gyal your body killer (wee)
    Mwendo kama caterpilar
    Miguu ya pombe Tequila
    She dey bust my mind
    Ba mutu ba Congo kabila
    Madongo lunyamila
    And she so sweety, Vanilla
    She dey bust my mind (oh, oh, oh)
    Nobody sexy like my baby (mmh)
    Tena mwepesi akiwa kwa bedii

    Hadi kaburu kwa mandera
    Rudi kwa bibi kinondoni
    Amber Lulu kunja dera
    Mwanangu Gigi simuoni, aje

    Aah inama (mama)
    Aah inuka (baby show them)
    Aah inama (hehehee)
    Aah shika ukuta (waonyeshe ulivyofunzwa)
    Aah inama (ah hii, go down baby)
    Aah inuka (give it to them baby)
    Aah inama (heehe)
    Aah shika ukuta (ruksa kutunza)

    Oya gyal dem, toto nyaupole
    Ana vimacho mlegezo gololi
    Katika game, funga tu goli
    Hatumalizagi mchezo ukae goli

    Kilima kilima (panda kilima), baby kilima (chii)
    Kisima kisima (mamba kisima), naingia kisima
    Nizame mpaka chini (ooh)
    Ebu, yaani katoto kachafu kama bata (eeh)
    Ah, ah, nami nakafanya ndafu nakang'ata

    Salamu ziende kwa Wanjala
    Doni Masha, kitasa kwenye bunyeru
    Waambie simba kacharara
    Anataka msambwanda kwa buku jeru, aje

    Aah inama (mama)
    Aah inuka (baby show them)
    Aah inama (hehehee)
    Aah shika ukuta (waonyeshe ulivyofunzwa)
    Aah inama (ah hii, go down baby)
    Aah inuka (give it to them baby)
    Aah inama (heehe)
    Aah shika ukuta (ruksa kutunza)

    Eeeh eeh
    Nasifiwa kwa mapenzi na mademu
    Wanapagawa mpaka wananiita handsome
    Burna Boy, twaeka kila sehemu
    Wanapagawa mpaka wananiita handsome

    Nasifiwa kwa mapenzi na mademu
    Wanapagawa mpaka wananiita handsome
    Simba, Mabishoo huniita sehemu
    Vile mademu zao nawapita handsome

    Konde Boy


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Harmonize y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección