visualizaciones de letras 1

Mdomo (feat. Ibraah)

Harmonize

Letra

    Hahaha, Jeshi
    I really sound crazy
    Chinga, I wanna sing for my lady oh
    Sexy lady mmh

    Wanaokesha wakiomba tuachane, wanaupaka rangi upepo
    Ufe nikuzike tuzikane, kesho tukakutane kwa pepo
    Hasi na chanya tugandane, kisha tuzidishe tempo
    Bila sita saba na nane, hata kumi isingekuwepo
    Tena unavyojisuuza hujikwezi
    Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
    Yani unawaburuza hawakuwezi
    Umeniteka mama

    Watoto wa Mombasa huko Kenya, wanaitamani ndizi ya kumenya
    Wanajiuliza vipi umepenya, mpaka tembo hapindui
    Akina Carry mastory wanakusengenya, na vile huwajibu wanajitekenya
    Na ulivyo na sifa unanipa tena, yani mpaka asubuhi

    Kifupi umeniziba mdo mdo mdomo
    Mdo mdo mdomo
    Mdo mdo mdomo, mdo
    Yani baby umeniziba mdo mdo mdomo
    Mdo mdo mdomo
    Mdo mdo mdomo, mdo

    Mmh yeah
    Oh, baby I don't even understand
    Nahisi kama umenifanyia limbwata
    Ila ndo mapenzi sishangai, yeah
    My baby, I don't want a one night stand
    Mi kwako chizi nishadata, nitakupenda till I die
    Maana unanipa mawenge (ngengenge)
    Mara vichwa mara mwenge (ngengenge)
    Kaja gym na kite (tengenge)
    Ilimradi uchokozi, aah onananana
    Macho yanatazama mbingu, na mikono ushafunga na pingu
    Kibaridi huko nje kuna wingu, mi namwa mwagaga machozi

    Watoto wa Mombasa huko Kenya, wanaitamani ndizi ya kumenya
    Wanajiuliza vipi umepenya, mpaka tembo hapindui
    Akina Carry mastory wanakusengenya, na vile huwajibu wanajitekenya
    Na ulivyo na sifa unanipa tena, yani mpaka asubuhi

    Kifupi umeniziba mdo mdo mdomo
    Mdo mdo mdomo
    Mdo mdo mdomo, mdo
    Yani baby umeniziba mdo mdo mdomo
    Mdo mdo mdomo
    Mdo mdo mdomo, mdo

    Anataka niteleze kwa ute (hana ubaya)
    Nikitapika nisifute (hana ubaya)
    Ananifanya nisijute (hana ubaya)
    Hana

    Say, Chumbani nikukute (hana ubaya)
    Na ganja mbili tuvute (hana ubaya)
    Na vumbi la Congo ulifute (hana ubaya)
    Hana

    Kondeboy call me number one
    Chinga yes number one
    Number one
    Hehe


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Harmonize y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección