Subira

Shaa

Letra

    Shika uliposhikwa, ujingapo achia
    Maana uliposhika ni muhimu sana kushikilia
    Shika uliposhikwa, ujingapo achia
    Maana uliposhika ni muhimu sana kushikilia

    Maneno, maneno, maneno
    Hayashibishi mtu
    Maneno, maneno, maneno
    Vita yagombanisha watu

    Hizi ni salamu, nakupatia Subira
    Mi sichokuwepo, nitakuwa nasikia
    Hizi ni salamu, nakupatia Subira mama
    Mi sitokuwepo, nitakuwa nasikia

    Ooh Subira, nisikiize sana
    Uendapo mbilini kuna mawifi, ujichunge mama
    Ooh Subira, nisikiize sana
    Uendapo mbilini kuna mawifi, ujichunge mama
    Acha kusangalai (umpende mumeo)
    We acha kusangalai (umtunze mumeo)
    Ogopa sana (kovu la ndui halifutiki)
    Hayana maana (maneno maneno ya wanafiki)
    Ogopa sana (kovu la ndui halifutiki)
    Hayana maana (maneno maneno ya wanafiki)

    Maneno, maneno, maneno
    Hayashibishi mtu
    Maneno, maneno, maneno
    Vita yagombanisha watu

    Mambo ya zamani, tofauti na sasa mwenzangu
    Na siri za ndani, zitunze kifuani mwenzangu
    Mambo ya zamani, tofauti na sasa mwenzangu
    Na siri za ndani, zisiwafikie walimwengu

    Aa chunga mdomo unajidanganya
    Unachoweza kufanya kuna wenzako wanaweza fanya
    Shoga eh kumbuka wanaume siku hizi wachache
    Akienda bafuni, akienda kazini akuage shoga eh
    Aa chunga mdomo unajidanganya
    Unachoweza kufanya kuna wenzako wanaweza fanya
    Aa ah hiyo nafasi usiitake, uiache utachekwa wee
    Wenzio wamaliza soli kwa waganga waipate
    Aah chunga mdomo unajidanganya
    Unachoweza kufanya kuna wenzako wanaweza fanya

    Hehehe ya, maji ya ugali hayaonjwi mwenzangu eh
    We mwana, mwana, mwanangu eh, eehh

    Utaniacha hoi hoi hoi
    Hata nikikuona sauti sitoi
    Utaniacha hoi hoi hoi
    Hata nikikuona sauti sitoi

    Shoga eh kumbuka wanaume siku hizi wachache
    Akienda bafuni, akienda kazini akuage shoga eeh
    Aah chunga mdomo unajidanganya
    Unachoweza kufanya kuna wenzako wanaweza fanya

    We Shirko we, jamani we Shirko wewe
    Shughuli imeambatana na mvua hii babu
    Wanyama wanakula wima
    Chezea, ah haa, neno la kishujaa babu
    Vita vifanyike ila raisi nisiuwawe

    Aah chunga mdomo unajidanganya
    Unachoweza kufanya kuna wenzako wanaweza fanya

    Utaniacha hoi hoi hoi
    Hata nikikuona sauti sitoi
    Utaniacha hoi hoi hoi
    Hata nikikuona sauti sitoi


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Shaa y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección