Suscríbete

Tutawaaibisha (Wataaibika)

KingsMainaMSsteve

Letra

    Walithania tutakuwa walivyio thania yao
    Sisi sasa ni watu wengine
    Hawaamini, wasema ni uchawi
    Wengine wasema ni miti shamba

    Sisi tuna mjua mungu mmoja
    Naye ni mungu wa Ibrahimu
    Ule wa Bible, eeh, ule mmoja wa Bible

    Nilisema tu siku moja tutawaaibisha
    Wataaibika na miujiza ya mungu wakituona
    Sikuwa mlevi
    Nilisema siku yangu itafika nikuwe mimi

    Lakini mimi mwingine mtu wa kupedwa na kila mtu
    Mbona mnainama mkiniona
    Niagalieni kwa macho nyinyi
    Mbona hamuniogelei sana

    Na venye mlikuwa mnaniogelea vibaya
    Endeleni kuniogelea
    Nawaluhusu, hiyo ni haki yenu
    Mbona mnanisalimia na hamukuwa mnataka ata kuniona

    Siwasalimiki sasa mnataka mawaitha
    Nilivyio fanikiwa mtoto wa nyoka ni nyoka
    Siwezi saidiana na watu kama nyinyi
    Kaeni na maisha yenu

    Mimi nakaa na maisha yangu
    Poleni sana

    Mwanadamu anamambo mingi ya kufanya maishani
    Nayo maisha ina surprise yake
    Maisha ni shule kusoma kuhitimu ni kazi

    Wambo aliniacha akapeda brayo
    Wacha akae uko joki
    Akasema sitanunua mahali
    Sasa hivi ona masion yangu

    Utaskia kiwaru unikemee
    Alafu ukuje sasa tuugane
    Tukuwe kitu moja
    Sitakubali

    Ivo unilete chini penye sijawai fika
    Alafu uje uniombe msamaha
    Turudiane na wewe haiwezi
    Sitakubali

    Ulikosa kunisuporti wakati nilikuwa chini
    Sasa nimejisimamishi mimi mwenyewe
    Sasa nimeanza kukuona karibu na maisha yangu
    Kwenda kabisa

    Wewe ni rafiki wa aina gani
    Nenda na sitawai taka kukuona karibu na maisha yangu
    Watu wengine waodoe kabisa karibu na maisha yako
    Na mambo itakuwa poa sana

    Eeh wewe mwenyewe

    Nilisema tu siku moja tutawaaibisha
    Wataaibika na miujiza ya mungu wakituona
    Sikuwa mlevi
    Nilisema siku yangu itafika nikuwe mimi

    Lakini mimi mwingine mtu wa kupedwa na kila mtu
    Mbona mnainama mkiniona
    Niagalieni kwa macho nyinyi
    Mbona hamuniogelei sana

    Na venye mlikuwa mnaniogelea vibaya
    Endeleni kuniogelea
    Nawaluhusu, hiyo ni haki yenu
    Mbona mnanisalimia na hamukuwa mnataka ata kuniona

    Siwasalimiki sasa mnataka mawaitha
    Nilivyio fanikiwa mtoto wa nyoka ni nyoka
    Siwezi saidiana na watu kama nyinyi
    Kaeni na maisha yenu

    Mimi nakaa na maisha yangu
    Poleni sana


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de KingsMainaMSsteve y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección