Siri Ya Penzi

Shaa

Letra

    Eeh siri ya penzi uvumilivu
    Ukiwa na hali we utaaribu
    Haki yake mtendee
    Akikosa msamehe
    Yakipita yamepita mgange yajayo
    Siri ya penzi eeh kuheshimiana
    Achana na jeuri, achana na kibuli
    Siri zake mlindie
    Mali zake mtunzie
    Hadharani chumbani niamini mwenzio

    Ngoja nikwambie eeh nikwambie
    Ngoja nikwambie eeh nikwambie kwambie
    Ngoja nikwambie eeh nikwambie
    Ngoja nikwambie eeh nikwambie kwambie

    Ukishikwa masikio na wasiokutakia
    Mema wee utapotea aah, aah
    Maneno ya nje sumu sio kila jirani mwema
    Kuwa makini aah
    Aah, aah
    Siri ya penzi ooh kutifichana
    Aah, aah
    Siri ya penzi Kuaminiana aah

    Ngoja nikwambie eeh nikwambie
    Ngoja nikwambie eeh nikwambie kwambie
    Ngoja nikwambie eeh nikwambie
    Ngoja nikwambie eeh nikwambie kwambie
    Nikwambie
    Nikwambie
    Nikwa nikwambie
    Nikwambie
    Nikwambie
    Nikwa nikwambie

    Ukiwa kiziwi atakuabudu
    Ukimuhusudu atakuhusudu
    Tenda utendewe
    Tenda utendewe
    Tenda utendewe
    Ooh
    Ukiwa kiziwi atakuabudu
    Ukimuhusudu atakuhusudu
    Tenda utendewe
    Tenda utendewe
    Tenda utendewe
    Siri ya peenzi

    Ngoja nikwambie eeh nikwambie
    Ngoja nikwambie eeh nikwambie kwambie
    Ngoja nikwambie eeh nikwambie
    Ngoja nikwambie eeh nikwambie kwambie
    Siri ya penzi ooh kutifichana aah
    Siri ya penzi Kuaminiana aah

    Ngoja nikwambie eeh nikwambie
    Ngoja nikwambie eeh nikwambie kwambie
    Ngoja nikwambie eeh nikwambie
    Ngoja nikwambie eeh nikwambie kwambie


    Comentarios

    Envía preguntas, explicaciones y curiosidades sobre la letra

    0 / 500

    Forma parte  de esta comunidad 

    Haz preguntas sobre idiomas, interactúa con más fans de Shaa y explora más allá de las letras.

    Conoce a Letras Academy

    ¿Enviar a la central de preguntas?

    Tus preguntas podrán ser contestadas por profesores y alumnos de la plataforma.

    Comprende mejor con esta clase:

    0 / 500

    Opciones de selección